September 18, 2014

 
   Habari njema kwa wakazi wa Morogoro kuhusu tamasha la #serengetifiesta204 litakalofanyika siku ya jumapili uwanaja wa Jamhuri Stadium ni hii: List ya wasanii watakaoiwakilisha Moro kwenye Stage imeongezeka baada ya wasanii Koba Mc na @sameer Kinyulinyuli kuongezwa kwenye list hiyo: endele kusikiliza Cloudsfm Radio @planetfm pia endelea kutembelea www.ubalozini.blogspot.com kwa taarifa kadri zitavyobadilika.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE