September 03, 2014

jide
    Baada ya tuhuma zilizozagaa mjini siku za hivi karibuni kufuatia taarifa ya Swahiba wangu, ndugu na rafiki yangu Mtoto wa vitoto kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwana dada Lady Jay Dee Komando machozi, hatimaye Mtooto wa vitoto ameamua kutoa uvivi juu ya hilo na kusema hii alichokisema katika mazungumzo nami hivi juzi.
       
Mtoto wa vitoto
"Mi siwez kuzungumzia hili kaka mi co msemaji wa jide, Hadhi yangu na dada jide tofauti,, Kwanza kuongelea hili ni kumshushia heshima binti machozi, haimjengei pcha nzur mbele ya jamii na kaz yake,, Waliandika kaachana na mumewe,,wakaja kuandika kakimbia nyumba yake anakaa hotelini sahv wamenijumlisha na mimi,,,wanajirb kuendeleza habar za uongo kwa kunihusisha mimi,,Nnachoweza kusema ni kwamba picha ni zangu na nnaeonekana ni mimi ila habari ilioandikwa sio mimi,, Kwanza mimi siitwi MEDDY AHMED naitwa AMADEUS GERALD pia mimi sio mzanzibar mi ni MCHAGA PURE wa MARANGU na ROMBO.
 Photo: "1): Hii Picha nilipiga na Gadner G. Habash na tulipiga siku hiyo hiyo wakati tunapiga zile picha nyingine ambazo Zimetungiwa Uwongo,,,,
Na hizo picha zingine Alizipiga Gadner Nyumbani Lounge......Ukiangalia Mavazi haya Niliovaa kwny picha hii ndio Hayo hayo yametumika kutengeneza Uongo kwny hizo Picha zao Nyingine na ukiangalia vizuri utagundua hizo picha zote zilipigwa siku Moja na Vazi lilikuwa Moja na Eneo lilikua Moja la Nyumbani Lounge na tulikuwa wengi zaidi ya watu 6 nakumbuka na ilikua zamani Mwezi wa Pili!!!!!

2):Hakuna Tena picha Nyingine yeyote iliyopigwa Kati yangu mimi na hao watu ikiwa ni eneo lingine na mavazi mengine Hakuna ni cku hiyo hiyo Moja tu Basi sasa wanaposema nilikua naonekana Maeneo Mengine mengine na Mkoko ni wap je? Hizo Picha Ziko wapi?

3):Jina langu halisi na la kwenye vitambulisho vyangu ni AMADEUS GERALD PETER LYARUU LYAKASERE na sio MEDDY AHMED hili jina Silijui Kabisa Na Ukweli ni kwamba Mimi nimebatizwa Kanisa la Roma Msimbazi Mseto Ilala centre so,where z AHMED comes From???.

4): Mimi sina Asili ya Zanzibari,,,Mimi ni Mchaga PURE Baba Marangu na Mama Rombo na Nimezaliwa Hospitali ya KILEMA Moshi kwa Mujibu wa Cheti changu cha Kuzaliwa Orijino sasa hiyo Asli ya Kizanzibari Imetokea wapi!!!!!! kama Tatizo ni Rangi hav got t From my Mama Mtafteni Mumuone Alivyo!!!!

5): a.k.a ya Mtoto wa vitoto Eidoo ni jina Lakipuuzi najua na halinipi shida kulitumia kwny mitandao kwa ajili ya Chatting tu na Refresh Lakini linapokuja Suala la Hela huwezi kukuta natumia jina hili,,,,Mwanzoni nilikua natumia a.k.a ya Mtoto wa vitoto,Ikaanza kuniletea shida sababu ya baadhi ya watu walilitumia jina hilo kama lao,,Nilipokea lawama nyingi za kuambiwa '''wewe umefanya hiki na wewe umefanya hiki Jina lako limeonekana jina lako hilo la Mtoto wa vitoto limesikika ni wewe usibishe'''
Kwakua hii ilitokea mara nyingi nikaona sio ishu ngoja nilibadilishe kwa kuongeza EIDOO mbele ili liwe MTOTO WA VITOTO EIDOO,,Na kote kwny social network nikabadilisha likawa hivi ili kujitenga na wengine!!!
Ukiserch jina la "Mtoto wa vitoto" Instagram au facebook au Tweeter utapata Result ya watu wengi sana wanatumia jina hili wakiwa sehemu Mbali mbali Haswa Facebook lakini hao wote sio Mimi ni watu wamejiamulia tu!!! Mimi natumia MTOTO WA VITOTO EIDOO.
Mmemkosea sana Dada wa watu kwa kujaribu kumlinganisha yeye na Mimi ni vitu viwili tofauti na Mmemshushia Heshima sana sana kwani mlichofanya ni sawa na Kumlinganisha SUAREZ na BALOTELI Huo ni Upuuzi wa Kiwango Cha Lami!!!!!
Mwacheni Aishi Maisha yake Na Pia Msinijumlishe mimi Huko sihusiki!!!
Why me?!!!!!!!!

6):Kwani kuna watu wangapi wanapiga picha na wasanii? Kwani kupiga picha na msanii ni Dhambi au ndio kutafta pakuandikia? 
Ninachojiuliza ni kwamba,Je ikitokea siku mimi nikapiga picha na Mama Mzazi wa yule Muandishi Je,Atanitoa gazetini na Kuniandika Mimi ni BABA YAKE MDOGO? Au ataniandika Mimi ni DOGO DOGO WA MAMA YAKE???
Sababu picha ni za kawaida lakini kilichosemwa ni Uongo!!!

7):Mi sio Mbongo movie wala Sio Mbongo Fleva okey!!! Mmepatia ,,,,Sasa Mimi ni nani Hadi muhisi mkinitumia Mtauza??? 
Kipi nnachofanya Mjini sasa hadi mnahangaika na mimi???

8):   NB:- KINACHONIUMIZA NI KILE KINACHOGUSA MWILI,,,,VINGINE I DONT CARE!!!!! 
**THE GREAT MIND ALIVE** 
Hii Picha nilipiga na Gadner G. Habash na tulipiga siku hiyo hiyo wakati tunapiga zile picha nyingine ambazo Zimetungiwa Uwongo,,,,
Na hizo picha zingine Alizipiga Gadner Nyumbani Lounge......Ukiangalia Mavazi haya Niliovaa kwny picha hii ndio Hayo hayo yametumika kutengeneza Uongo kwny hizo Picha zao Nyingine na ukiangalia vizuri utagundua hizo picha zote zilipigwa siku Moja na Vazi lilikuwa Moja na Eneo lilikua Moja la Nyumbani Lounge na tulikuwa wengi zaidi ya watu 6 nakumbuka na ilikua zamani Mwezi wa Pili!!!!!

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE