Baada ya kutamba na nyimbo zake kadhaa, sasa mwanamuziki Lady Queen ameamua kuja na style hii ya muziki. Lady Queen ameachia wimbo wake huu mpya wenye mahadhi ya ki Afrika kabisa kwa lengo la kuteka soko la mziki huo kwa sasa
Habari Magazetini jumapili ya 11 February
Habari mpenzi msomaji. Karibu katika kurasa za magazeti ya leo hii Jumapili ya 11. Feb 2018. Tumekukusanyia baadhi ya kurasa katika magazeti makubwa kabisa na pendwa nchini Tanzania
…Read More
BONGO TBT: Kwanza Unit-Msafiri
Kama utayataja makundi ya zamani sana kwenye muziki wa Bongo Fleva, basi lazima uitalikumbuka hili kundi la kwanza Unit. Ni moja ya makundi ya zamani kabisa katika game ya Bongo. Tunaweza kusema ni makundi waasisi wa muzi…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment