October 29, 2014


Chid Benz akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar.
HATIMAYE  msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo asubuhi amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya kesi yake ya kukamatwa na dawa za kulevya.
Msanii huyo, jana alipandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu ya kukutwa na madawa ya kulevya ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana ya shilingi milioni 1 pamoja na wadhamini wawili wasiokuwana hatia.
Kesi yake itasikilizwa tena Novemba 11 mwaka huu.

Related Posts:

  • Zuma: hakuna ruhusa mgeni kumiliki ardhi b Wageni hawatoruhusiwa kumiliki ardhi Afrika Kusini, kufuatana na sheria kali zinazopendekezwa na Rais Jacob Zuma. Siku zijazo wageni wataruhusiwa tu kukodi kwa muda mrefu ardhi ya mashamba ya Afrika Kusini. Mbali ya ha… Read More
  • Waliowajeruhi polisi Tanga wasakwaJeshi la Polisi nchini  limesema wanawasaka watuhumiwa waliowajeruhi askari sita kwa risasi mkoani Tanga. Askari hao walijeruhiwa wakati wakifanya kazi ya kuwatafuta watuhumiwa wa uhalifu wa kutumia silaha wanaodaiwa kuw… Read More
  • Wakazi Kasulu mkoani Kigoma washerehekea Valentine na Clouds   Leo ikiwa ni siku ya Valentine day yaani ni siku ya wapendanao Kwa mara ya kwanza kabisa, wakazi wa Kasulu mkoani Kigoma , wameanza kusikiliza  matangazo ya kituo cha radio cha Clouds fm kwa masafa ya 89.3 FM. … Read More
  • Bodaboda wezi wa simu, wakamatwa na kuchomewa pikipiki   Maeneo karibu na Ocean Road, vijana maarufu kwa ukwapuaji wa simu za mkononi wakiwa kwenye pikipiki walimkwapulia dada mmoja simu. tukio hilo lilionwa na mtu aliyekuwa kwenye gari ndipo alipoanza kuwafukuzia na k… Read More
  • Runinga zilizojizima kupigwa fainiMamlaka ya mawasiliano nchini Kenya sasa inasema kuwa itavipiga faini vituo vya uninga vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao kufuatia hatua ya serikali kuhamia katika matangazo ya dijitali. Mkurugen… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE