Lakini huo haukuwa wimbo wa kwanza wa msanii huyo, mashabiki wa Muziki wa Nigeria wanautambua wimbo wa Nfana Ibaga alioufanya miaka kumi iliyopita na kufanya vizuri kwenye tasnia ya muziki wa Nigeria wimbo huo una bahati ya kudumu kwenye masikio ya mashabiki wa 2face.
Kufuatia hali hiyo sasa 2face ameachia Video remix ya wimbo huo kama sehemu ya kusherehekea Miaka kumi kwenye Muziki.
unaweza kuitazama hapa
0 MAONI YAKO:
Post a Comment