Tunakupa nafasi ya kutembelea kurasa za mwanzo na za mwisho za magazeti ya leo hii Jumanne Oct 28 kama tulivyoweza kukusanya baadhi ya kurasa za magazeti hayo. Unaweza kusoma habari kwa undani zaidi utakapopitia meza za magazeti na kujipatia nakala yako.
KAMPUNI ya Madam Rita yafungiwa...Adaiwa Kodi Bil 7
Mamlaka
ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Kampuni ya Udalali ya
Yono, wameifungia Kampuni ya Benchmark Productions na kuipa muda wa siku
14, iwe imelipa deni la kodi ya Sh bilioni 7.04, vinginevyo …Read More
FIESTA 2016 TANGA: Tamasha la Tamadunika lafanyika leo hii
Zaidi ya Vikundi vinne vimeshiriki kwenye maonyesho ya Tamadunika yote ikiwa na lengo la kuonyesha asili ya watu wa Tanga ambapo ngoma kama Baikoko, Kibaokata chimbuko lake ni mkoani Tanga. Tigo Fiesta 2016
…Read More
FIESTA2016: Tanga wafanya yao jana, kesho Moshi
Wakazi wa jiji la Tanga usiku wa jana kuamkia leo wameingia katika Historia ya Fiesta ya mwaka 2016 baada ya usiku wa Tarh: 23 kuamkia 24 September kukamilisha shangwe za Fiesta katika uwanja wa Mkwakwani
…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment