Tayari sehemu ya timu yake imeshatua Tanzania akiwemo meneja wake pamoja na mizigo kadhaa ndani yake ikiwa na nguo kutoka kwenye clothing line ya T.I ambapo nguo hizi zitauzwa kwa Watu mbalimbali pale Dar Free Market Osterbay kuanzia saa nne asubuhi ya October 18.
KITUMBO AIBUKA MEYA MPYA MANISPAA YA SHINYANGA, TAZAMA AKIONGOZA KIKAO CHA
KWANZA BARAZA LA WADIWANI
-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga ,Salum Kitumbo
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mazingira ya kisiasa ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyang...
2 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment