K O. Mtangazaji wa kipindi cha The Booster
The booster show ni kipindi cha mziki wa bongo fleva the booster ni
kipindi cha wasanii wa morogoro pia haijalishi msanii amemshirikisha
msanii yupi kutoka wapi ili mradi anawakilisha morogoro.
The booster kila siku ya ijumaa kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 7 mchana hapa hapa 89.9 ABOOD FM
The booster kila siku ya ijumaa kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 7 mchana hapa hapa 89.9 ABOOD FM

Kenny Kennie Mmoja ya wasanii wanaofanya poa sana katika game
Lakini pia K O Amewahasa wasani hao kuhakikisha kwamba kazi wanazofanya zinakuwa na ubora unaokidhi na unaokwenda sambamba na soko husika.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment