December 31, 2014

 
Gari ya TANAPA ilivyozama leo hii baada ya mvua kubwa kunyesha mkoani Morogoro
 Leo hii mkoani Morogoro mvua kubwa ilinyesha na kuleta athari ya uharibifu wa mali mbalimbali,
 Mvua hiyo iliyonyesha kwa muda mrefu ilisababisha vyombo vya usafiri kushindwa kufanya shuguli zake kwa muda naada ya gari zingine kuzimika barabarani na nyingine kuzama mitaroni 
 
  Katika eneo la soko kuu la mooa wa Morogoro baadhi ya wafanya biashara wamelalamikia miundo mbinu mibovu katika soko hilo na kusababisha upotevu wa mali zao kufuatia mvua kubwa ya leo hii
 
 
Baadhi ya wananchi wakitoa misaada  kwa vuombo vya usafiri

 
 

 
Bodaboda ilisombwa na maji hapa wasamalia wemawakiiokoa 
 
 
 

Related Posts:

  • Brand New Audio: Harmonize - Nishachoka Kutoka W C B jumba linaloongoza kwa kutoa mastar wa muziki wa bongo Fleva, wanakuletea tena kwa mara nyingine wimbo mpya kabisa kutoka kwa Harmonize unaitwa Nishachoka. Download hapa sasa kuuskiliza wimbo huu mpya … Read More
  • Brand New Video: Rihanna feat. Zayn - Angel   Diva wa muziki nchini Marekani asiyeishiwa vituko, Rihanna, ameachia wimbo wake mpya muda huu. Wimbo unaitwa Angel akimshirikisha mwanamuziki Zayn           &nb… Read More
  • Magazeti ya IPP Media yapatiwa Leseni Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akielezea jambo wakati wa zoezi la kukabidhi Leseni za machapisho kwa Kampuni ya The Guardian Ltd leo Jijini Dar es Salaam i… Read More
  • Polisi yapiga marufuku kumuombea Lissu Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu  CHADEMA Mkoani Rukwa kimeshindwa kufanya ibada ya maombi kwa ajili ya Mwanasheria Mkuu wa Chama chao, Mh. Tundu Lissu aliyejeruhiwa kwa risasi hivi karibuni&… Read More
  • Kutoka Ikulu:Rais Magufuli amteua Jaji Mkuu    Rais John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Jaji mkuu wa Tanzania. Kupitia taara vyombo vya Habari na taifa kwa jumla msemaji wa Ikulu ndugu Gerson Msigwa , ametupatia taarifa hiyo kama ifuatavyo … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE