December 31, 2014

 
Gari ya TANAPA ilivyozama leo hii baada ya mvua kubwa kunyesha mkoani Morogoro
 Leo hii mkoani Morogoro mvua kubwa ilinyesha na kuleta athari ya uharibifu wa mali mbalimbali,
 Mvua hiyo iliyonyesha kwa muda mrefu ilisababisha vyombo vya usafiri kushindwa kufanya shuguli zake kwa muda naada ya gari zingine kuzimika barabarani na nyingine kuzama mitaroni 
 
  Katika eneo la soko kuu la mooa wa Morogoro baadhi ya wafanya biashara wamelalamikia miundo mbinu mibovu katika soko hilo na kusababisha upotevu wa mali zao kufuatia mvua kubwa ya leo hii
 
 
Baadhi ya wananchi wakitoa misaada  kwa vuombo vya usafiri

 
 

 
Bodaboda ilisombwa na maji hapa wasamalia wemawakiiokoa 
 
 
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE