December 30, 2014

Kocha Patrick Phiri amesema ametaarifiwa kuhusiana na kibarua chake kusitishwa.

Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.

"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.

"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.

Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza ni kiasi gani, halafu ataanza safari ya kurejea kwao Zambia.

"Nikimalizana nao kuhusiana na malipo yangu, nitajua lini ninakwenda nyumbani," alisema Phiri.

Related Posts:

  • Usajili: Yanga yampata mlithi wa Msuva YANGA SC imemsajili kiungo chipukizi, Baruan Yahya Akilimali aliyekuwa anasoma nchini Uganda kwa mkataba wa miaka miwili. Winga huyo wa kulia anayeweza kucheza na upande wa kushoto pia, amesaini leo mkataba wa mia… Read More
  • Mtoto wa Future na Ciara apata dili   Mtoto wa rapper Future na mwanamuziki Ciara, Zahir Wilbur ambaye kwa sasa analelewa na mama yake pamoja na baba yake wa kambo Russel Wilson, amepata dili lake la kwanza la kuingiza fedha nyingi. Zahir ambaye a… Read More
  • Aslay - Baby (official music video)   Mwanamuziki Aslay, baada ya kufanya poa sana kwa wimbo wake wa Muhudumu, ametuletea wimbo wake mpya kabisa unaitwa Baby           … Read More
  • Exclusive: nipo tayari kujiunga WCB Barakah The Prince Mwanamuziki Barakah Da Prince amesema yupo tayari kujiunga na lable ya WCB inayomilikiwa na mwanamuziki Diamond. Akizungumza katika kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Fm kinachoongwa na Diva The Bawse, Baraka amesema. T… Read More
  • Tundu Lissu akamatwa uwanja wa Ndege Mbunge Tundu Lissu. Rais wa Chama cha wanasheria Tanganyika  na  Mwanasheria wa CHADEMA Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amekamatwa na polisi Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Da… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE