Kampuni
ya usambazaji wa filamu nchini "Steps Entertainment" wameshusha bei ya
filamu hadi kufikia shilingi 1,500 kwa nakala moja ili kujaribu
kupambana na waharamia wa kazi za wasanii,baadhi ya wasanii
wameilalamika kampuni hiyo kwani kwa kufanya hivyo ni kuwanyonya wasanii
na kazi zao.
December 22, 2014
1:07 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Shambulio la kwanza la Boko Haram huko Niger Wanamgambo wa kitakfiri wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamekishambulia kijiji kimoja huko Niger. Gazeti la Le Figaro linalochapishwa nchini Ufaransa limeripoti kuwa, watu walioshuhudia wameeleza kuwa wan… Read More
New Audio: Nikki wa Pili ft Joh Makini, Nahreel, Jux, Aika, Vanessa - Safari Wimbo mpya kutoka kwa Nikki Wa Pili. Wimbo huu ameshirikishwa kaka mtu Joh Makini pamoja na G Nako, Nahreel, Aika, Jux na Vanessa Mdee. … Read More
Zanzibar yaomba msaada Iran Zanzibar inataka kunufaika na uwezo wa kitaalamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Hayo yamesemwa na Rais wa Zanzibar Ali Mohammad Shein wakati alipokutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohamma… Read More
Kuelekea siku ya wapendanao, mambo muhimu ya kufahamu kuhusu siku hiyo (Valentine day) Tareha 14 Feb ni Sikukuu ya Wapendanao. Siku maalumu kwa ajili ya kuoneshana mapenzi ya dhati. Ni siku muhimu sana yenye maana kubwa kwa kila mtu, maana upendo hauchagui. Maana halisi ya siku yenyewe inaharibiwa… Read More
Waasi wa Houthi wachukua serikali Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen, kuvunjilia mbali bunge, kumwondoa rais na nafasi hiyo kuchukuliwa na baraza la urais. Wahouthi hao walitangaza hayo katika mkutano wa siasa … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment