December 22, 2014

 

Hivi karibuni zilisambaa taarifa kuwa Diva loveness Love ametemwa kwenye kituo list ya watangazaji wa kituo cha clouds fm, hiyo ni baada ya mwanadada huyo kutoskika hewani kwa zaidi ya mwezi mmoja na nusu, sasa Diva leo akiwa kwenye mahojiano na mtangazaji wa kipindi cha The Fix cha Seba The Warrior ametoa kila kitu kuhusiana na Taarifa hizo na kukanusha kutemwa na radio hiyo inashikilia nafasi ya saba Afrika.

Sikiliza full Interview hapo chini........

Related Posts:

  • Mufti wa Tanzania ampa baraka Mbwana Samatta Jana tarehe 11 January 2016, Mwanasoka Bora Afrika Ndg. Mbwana Samatta alimtembelea Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir katika ofisi kuu za Bakwata zilizopo Kinondoni Jijini Dar Es Salaam. Mufti Mkuu mbali na kumpa… Read More
  • CCM wamjibu Maalim Seif Muda mfupi baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad kutangaza kasoro na athari za kurudia Uchaguzi uliofutwa kinyume cha sheria na Jecha Salim Jecha, viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wam… Read More
  • Magazeti ya leo january12 ya 2016 yanasema hivi Karibu mpenzi mwana familia wa ubalozini.blogspot.com . Leo ikiwa ni jumanne ya January 12 ,2016 ikiwa ni siku ya mapinduzi ya Zanzibar, tumekukusanyia vichwa vya habari za magazetini kama yalivyotufikia. … Read More
  • CUF yapinga marudio ya uchaguzi Zanzibar Chama cha Wananchi (CUF) kimesema hakitakubali marudio ya uchaguzi wa urais visiwani Zanzibar. Chama hicho kupitia taarifa kwa wanahabari kimesema hakuna “hoja wala msingi wa kikatiba na kisheria wa uchaguzi kurudiwa&#… Read More
  • Al-Shabab wako 'huru' kushiriki soka SomaliaWapiganaji wa Alshabaab Mkuu wa shirikisho la soka nchini Somalia amesema kuwa kundi la wapiganaji wa al-Shabab liko huru kushiriki katika ligi kuu ya soka nchini humo. Abdiqani Said Arab amemuambiwa mwandishi wa BBC jijini N… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE