December 18, 2014


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Prof. Anna Tibaijuka amegoma kujiuzulu kwakuwa haoni sababu ya kufanya hivyo
Akiendelea kuzungumza na waandishi muda huu anasema watu wanaona kujiuzulu ni 'fashion' ila yeye hayuko katika 'fashion' hiyo

“Mimi Nijiuzulu kwa sababu gani? yaani kwa sababu ya mafanikio ya kuwakomboa wanawake kwenye Elimu ndio mimi nijuzulu,maana kujiuzulu kunasababu, na hakuna sababu ya mimi kufanya hivyo na sitofanya hivyo kwani wanaodai mimi nijiuzulu ni wanafiki wenye nia mbaya na mimi ,na mimi sijiuzulu ng’o na nikifanya wanavyotaka Rais atashangaa ”alisema Waziri Tibaijuka.
“Leo natuhumiwa na kila mtu kwamba nimepewa pesa na Rugimalira kwamba ni za kifisadi,Jamani tuwe wa kweli kuhusu madai haya maana nimepewa pesa na Rugemalira kwa ajiri ya shule hizi na sio huyo pekee alliyechangia kwani waliochangia pesa hizi ni watu wengi ikiwema Rais wa Awamu ya Tatu,Benjamin Mkapa,Mfanya Biashara Maarufu Reginald Mengi na wengine wengi,inakuwaje leo mchango wa Rugumarila kwa Ajiri ya Elimu kwenye Shule hii ndio iwe nongwa”
“Kwasababu ukisema ni pesa alizonipa ni za ufisadi wa Escrow sio kweli,kwani Bodi ya Shule ilimuomba Bwana Rugemalira pesa kwa kutumia Kampuni yake ya Mabibo Wine na kipindi kile ndio alikuwa kiongozi, sasa hawa watu wanaozani ni za ufisadi inakuwaje jamani tuwe wakweli”Aliongeza Waziri Tibaijuka."

Related Posts:

  • Magazetini leo Tumepita katika chumba cha habari cha TZA kilichopo jijini Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 15, 2015 na  kukukusanyia Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya head… Read More
  • ZITTO: MAGUFULI hajawahi kukemea ufisadi Akihojiwa na mtangazaji Tido Mhando katika kipindi cha mikikimikiki AZAM 2 TV leo asubuhi, Zitto ameshangazwa na hatua ya mgombea urais kupitia CCM kujipambanua kuuchukiaufisadi wakati kipindi chote cha mijadala ya ufisadi w… Read More
  • [picha] Tamasha la "Wasanii wa Mabadiliko" Msanii Mkoloni akiimba katika Tamasha la Wasanii wa Mabadiliko lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Mtwara. Lengo la Tamasha hilo ni kuwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 25, 2015. Wananchi waliojit… Read More
  • Mgombea Ubunge Lushoto afariki Dumia Nimesoma kwa masikitiko na majonzi kuhusu ajali iliyompata kaka Mohamedi Mtoi aliyekuwa akiwania Ubunge katika jimbo la Lushoto kwa tiketi ya CHADEMA na mwavuli wa UKAWA. Familia ya Mtoi … Read More
  • New Audio| Saoti Sol - Isabella |Download & Listen The award-winning Kenyan group - Sauti Sol – release ISABELLA, the sixth single off Sauti Sol’s upcoming third album: LIVE AND DIE IN AFRIKA, set for release in 2015. The acoustic ISABELLA is a bonafide ballad, and tru… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE