December 30, 2014

Gone to the Pub

Hekaheka iliyosikika kwenye show ya Leo Tena ya Clouds FM, imetokea Mbezi, Dar es Salaam.

Wanawake wawili wamelalamikia kitendo cha dada mmoja ambaye amefungua pub ya kuuza vinywaji, lakini wanawake hao wamesema kuwa mwanamke huyo ameweka magodoro mawili ambapo ametuhumiwa kuwa anawalaza wanaume za watu ndani ya Pub hiyo.

Mwanamke mmoja amesema kuwa waliuza nyumba na mumewe na wakaamua kujenga nyumba nyingine lakini mwanaume huyo alimtelekeza mkewe eneo la ujenzi na kwenda kunywa pombe katika Pub hiyo, alipomfuata mwanaume huo aligoma kuondoka hivyo mwanamke akaamua kumwaga vinywaji vilivyokuwa kwenye meza na kupelekea ugomvi kati yao.

Wanawake hao waliandamana kwenda kwenye Pub ya mwanamke huyo ili wakamseme kuhusu tabia hiyo, lakini mwanamke huyo alikataa kuwa huwa anawalaza wanaume hao katika Pub yake, ila magodoro ambayo yapo huwa wanayatumia wafanyakazi wake kulala wakati wa usiku.

Unaweza kuisikiliza Hekaheka hiyo kwa kubonyeza play hapa.

Related Posts:

  • Habari za Magazetini leo hii hizi hapa     Habari za leo mpenzi msomaji. Karibu katika kurasa za magazeti ya leo hii Jumamosi 14 Mei 2016. Habari kubwa katika magazeti ya leo zipo hapa.       &… Read More
  • Sumaye aula CHADEMA Waziri Mkuu Mstaafu,Fredrick Sumaye ameteuliwa kuwa mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Mwenyekiti wa Chadema – Taifa Freeman Mbowe,amekiambia Kikao cha Kamati Kuu jana k… Read More
  • Mwanamke ateuliwa kuwa katibu mkuu FIFA    Kwa mara ya kwanza katika historia, mwanamke ameteuliwa kuwa katibu mkuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), shirikisho ambalo kwa kiwango kikubwa limetawaliwa na wanaume. Bi Fatma Samba Diouf Samoura … Read More
  • DJ Maarufu Dar Adai: Nimezaa na Mama Diamond Platnumz Kumekuwepo na usiri juu ya baba wa mdogo wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Platnumz lakini huenda utata ukafika mwisho baada ya aliyekuwa DJ maarufu jijini Dar kuibuka na kudai kuwa ndiye aliyemzaa m… Read More
  • Taarifa Ya Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mwanza Kwa Vyombo vya Habari Mwanamke mmoja amejeruhiwa kwa kukatwa na panga kwenye bega la mkono wa kulia wilayani sengerema.Watu wanne wanaozaniwa kuwa ni wezi walivamia nyumbani kwa mfanyabiashara wa mbao silvia oscar na kujeruhi watu wawili hu… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE