January 10, 2015

 
  Taarifa tulizozipata kupitia group la PAPASO , na baadaye kuthibitishwa na Mbunge wa Mbeya Mjini Mh Joseph Mbili amepata ajali muda mchache uliopita katika mlima wa Kitonga.


Akiongea na MACHAKU BLOG toka jijini Mbeya, MH: Mbilinyi (Sugu) amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo katika mlima wa Kitonga na kusema anashkuru Mungu wamesalimika lakini sasa wapo Hospitali kwa kutibu majeraha madogomadogo

 
  

 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE