January 10, 2015

 
  Taarifa tulizozipata kupitia group la PAPASO , na baadaye kuthibitishwa na Mbunge wa Mbeya Mjini Mh Joseph Mbili amepata ajali muda mchache uliopita katika mlima wa Kitonga.


Akiongea na MACHAKU BLOG toka jijini Mbeya, MH: Mbilinyi (Sugu) amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo katika mlima wa Kitonga na kusema anashkuru Mungu wamesalimika lakini sasa wapo Hospitali kwa kutibu majeraha madogomadogo

 
  

 

Related Posts:

  • Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi   Burundi:Nkurunziza ahairisha uchaguzi  Rais wa Burundia Pierre Nkurunziza amehairisha uchaguzi wa ubunge kwa siku kumi . Msemaji wa rais Willy Nyamitwe ameiambia shirika la habari la AF… Read More
  • Sterling apata mtetezi   Nyota wa Liverpool Raheem Sterling ametetewa kwa kuwa na hamu kujiunga na vilabu vikubwa. Mshambuliaji huyo wa Liverpool huenda asilaumiwe kwa kuonyesha hamu ya kung'aa zaidi na kutaka kushinda vikombe. Hii ni kw… Read More
  • Watanzania watakiwa kudumisha amani   Viongozi wa dini, wanasiasa na wazee nchini wamewaonya Watanzania kujiepusha na viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani. Viongozi hao walisema hayo, Dar es Salaam jana katika Mkutano kuhusu Amani na Utulivu wa T… Read More
  • Mtu mmoja apigwa risasi    Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura. Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa aw… Read More
  • Kutana na mashairi ya siachani nawe ya Baraka da Prince (verse1) Wakati nalainisha moyo kupenda sio kama ninakosea ipo sababu ya mimi kurejesha namba ambayo ilipotea hali ya mtoto kumsusa mama akishachapwa ni sawa na mapenzi ukishapendwa unasahau hata kama ulishafanyiw… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE