January 06, 2015

 
 Mtangazaji wa kipindi cha XXL Clouds Fm. Doreen a.k.a DeeAndy siku ya jana alifunguka kupitia kipindi hicho juu ya uhusiano wake na Rapper Godzilla.
Dee alifunguka baada ya kuulizw na watangazaji wenzke B12 na Fetty juu ya alichokiandika kupitia acc yake ya InstaGram akim-wish happy birthday msanii huyo ambapo aliandika
dee alisema alikutana na Zilla miaka miwili iliyopita katikia studio za Tongwe alipokuw ameenda kwaajili ya kufanya tangazo

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE