
Ikiwa tunaelekea katika uchaguzi mkuu wa kuwapata madiwani, wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kule Zanzibar
Msanii
nguli wa muziki wa Bongo Fleva Juma kasim Ally kiroboto, atangaza rasmi nia ya kugombea
ubunge jimbo la TEMEKE ambalo kwa sasa lipo chini ya MH: Abas Mtemvu .
0 MAONI YAKO:
Post a Comment