Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimwapisha
George Mcheche Maseju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hafla
iliyofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es salaam.
Mwanasheria
Mkuu wa Serikali akipokea nyaraka na vitendea kazi kutoka kwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete katika hafla ya
kumwapisha kuwa Mwanasheria Mkuu mpya wa Serikali.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib
Bilal(kutoka kushoto)akiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Spika wa Bunge
Mh. Anna Mkinda, Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohammed Othman Chande,Waziri
wa katiba na Sheria Dk. Asha-Rose Migiro na George Maseju wakati
wakisubiri kuapishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali hapo jana katika
viwanja vya ikulu jijini Dar es salaam.
Picha ya pamoja ya kumbukumbu ya viongozi wa juu wa Serikali na Mwanasheria Mkuu mpya wa Serikali.
Picha
ya pamoja ya kumbukumbu ya wanafamilia wa Mwanasheria Mkuu mpya wa
Serikali George Maseju na Mh. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
katika hafla ya kumwapisha iliyofanyika katika viwanja vya ikulu jijini
Dar es salaam hapo jana
WALIMU WA MASOMO YA HISABATI NA KIINGEREZA DODOMA WANOLEWA
-
Na.Francisca Mselemu - Habari - DODOMA RS
Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mkoa wa
Dodoma Mwalimu Vincent B. Kayombo leo M...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment