January 02, 2015

 
Usiku wa mkesha wa mwaka mpya Diamond Platnumz amefanya yake katika Vibe Party huko jijini Kigali, Rwanda akiambatana na mpenzi wake mpya Zarinah aka thebosslady kutoka Uganda pamoja na timu nzima ya wasafi na mameneja wake. 
ALICHOKIANDIKA Diamond dakika chache zilizopita!
Hii ilikuwa ni Vibe Party tu ya kusalimiana jana... dah! Nawashkuru sana Rwanda kwa Mapenzi yenu kwangu...najiuliza sjui leo kwenye show itakuwaje pale kwenye Uwanja wa Amahoro..
 
 
( Imagine that was jus, meet and Greet VIBE PARTY last Night... I swear Rwanda, you guys are Amazing i can't even express how i feel for the love that you have been showing me since i got here...i can not waiting for the Main Show at Amahoro Stadium Today!!! )
Hizi ni baadhi ya picha zilizochukuliwa wakati mkali huyo wa "number one" akitokea hotel na kuelekea ukumbini. Picha zote ni kutoka katika account ya instagram ya wasafi zikiwa zimepigwa na kifesi

Related Posts:

  • Mzee Yusuph afichua siri ya mchezo Mfalme wa Taarab nchini na kiongozi wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuph, amesema sababu za bendi yake kupendwa ni utunzi mzuri wa nyimbo zao. Mzee Yusuph ambaye June 13 kwenye tuzo za muziki za Kilima… Read More
  • TFF yamtangaza Boniface Mkwasa kuwa kocha mpya wa Taifa Stars Shirikisho la soka nchini, TFF, Jumanne hii limemtangaza rasmi Boniface Charles Mkwasa kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars. Mkwasa atasaidiwa na Hemed Morocco kutoka Zanzibar. Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa TF… Read More
  • Ainea kuja na Juddy wiki hii     Mwanamuziki wa kizazi kipya toka mkoani Dodoma Aine wa sinampango naye, yupo mbioni kuachia ngoma yake mpya ya Juddy aliyomshirikisha Dullayo. Akitia Story na blog hii, Ainea amesema ameamua kuja na Dullayo k… Read More
  • Happy Birth day to u Zinedine Zidane   Zinedine Zidane a.k.a Zizou amezaliwa June 23 mwaka 1972 na hadi leo amefikisha miaka 43. Zidane ameoa mwaka 1994 mke wake anaitwa Veronique Zidane. Hadi leo wana watoto wanne ambao ni Enzo Fernandez, Theo Zidane,… Read More
  • AY: awashauri Diamond na Alikiba Rapper Ambwene Yesayah maarufu kama AY ametoa ushauri kwa Diamond na Alikiba kuweka tofauti zao pembeni na kufanya muziki pamoja. AY ametoa ushauri huo baada ya kuulizwa na shabiki kupitia Kikaangoni cha EATV aliyetaka… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE