January 02, 2015

 
Usiku wa mkesha wa mwaka mpya Diamond Platnumz amefanya yake katika Vibe Party huko jijini Kigali, Rwanda akiambatana na mpenzi wake mpya Zarinah aka thebosslady kutoka Uganda pamoja na timu nzima ya wasafi na mameneja wake. 
ALICHOKIANDIKA Diamond dakika chache zilizopita!
Hii ilikuwa ni Vibe Party tu ya kusalimiana jana... dah! Nawashkuru sana Rwanda kwa Mapenzi yenu kwangu...najiuliza sjui leo kwenye show itakuwaje pale kwenye Uwanja wa Amahoro..
 
 
( Imagine that was jus, meet and Greet VIBE PARTY last Night... I swear Rwanda, you guys are Amazing i can't even express how i feel for the love that you have been showing me since i got here...i can not waiting for the Main Show at Amahoro Stadium Today!!! )
Hizi ni baadhi ya picha zilizochukuliwa wakati mkali huyo wa "number one" akitokea hotel na kuelekea ukumbini. Picha zote ni kutoka katika account ya instagram ya wasafi zikiwa zimepigwa na kifesi

Related Posts:

  • New VIDEO | JOZZ D - My Candy Song Name/Jina la Nyimbo: My Candy.Artist Name/Jina la Msanii: JOZZ D .Genre/Aina ya Nyimbo: BONGO FLEVA & AFRO BEATSDirected/Mwongozaji: Remy Ivo Lupamba. Producer/Mtengenezaji: JOHNBGRAND.Studio: GRANDMASTER.C… Read More
  • Ulikuwa wapi ya Hussein Machozi  Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hatimaye msanii wa bongo fleva Hussein Machozi amekuja na hii hapa mpaya kabisa.  Download hapa chini … Read More
  • Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175   Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra. Moto huo uliozuka siku ya jumatano usiku ulianza wakati wakaazi wa mji huo walipok… Read More
  • January Makmba kufunguka jumapilu ijayo   Mbunge wa Bumbuli, Tanga na Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba nae ni mmoja wa walioingia kwenye headlines kwamba na yeye ameingia kwenye list ya wagombea wa CCM kwenye nafasi ya U… Read More
  • FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa  Shirika la maafisa wa polisi wa kimataifa Interpol limetoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita wanaohusishwa na FIFA kufuatia madai ya kuhusika na ufisadi. Agizo hilo linawalenga maafisa wanne wa mashirika makuu p… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE