January 02, 2015

 
Usiku wa mkesha wa mwaka mpya Diamond Platnumz amefanya yake katika Vibe Party huko jijini Kigali, Rwanda akiambatana na mpenzi wake mpya Zarinah aka thebosslady kutoka Uganda pamoja na timu nzima ya wasafi na mameneja wake. 
ALICHOKIANDIKA Diamond dakika chache zilizopita!
Hii ilikuwa ni Vibe Party tu ya kusalimiana jana... dah! Nawashkuru sana Rwanda kwa Mapenzi yenu kwangu...najiuliza sjui leo kwenye show itakuwaje pale kwenye Uwanja wa Amahoro..
 
 
( Imagine that was jus, meet and Greet VIBE PARTY last Night... I swear Rwanda, you guys are Amazing i can't even express how i feel for the love that you have been showing me since i got here...i can not waiting for the Main Show at Amahoro Stadium Today!!! )
Hizi ni baadhi ya picha zilizochukuliwa wakati mkali huyo wa "number one" akitokea hotel na kuelekea ukumbini. Picha zote ni kutoka katika account ya instagram ya wasafi zikiwa zimepigwa na kifesi

Related Posts:

  • Pitio la Magazeti ya leo hii ijumaa march 27Leo ijumaa 27/3/2015 tunakupatia fursa ya kujua kile kilichoandikwa katika magazeti ya leo japo kwa Vichwa vya Habari. Kama ukitakaka habari zaidi pitia katika meza za magazeti zilizo karibu nawe … Read More
  • Matumla afanya kweli Mohamed Matumla akijitahidi kumbana vyema mpinzani wake Bondia Mohamed Matumla amefanikiwa kutoka kimasomaso baada ya kumchapa kwa points bondia mwenzake kutoka nchini China Wang Xin Hua katika mpambano wa raundi 10 uli… Read More
  • Muswada tata kupeleka waandishi jela wapita Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bunge limepitisha muswada mchungu kwa waandishi wa habari na vyombo vya habari baada ya kupitisha Muswada wa Takwimu wa Mwaka 2013, ambao pamoja na mambo mengine unataka mwandishi at… Read More
  • Kuhusu ajali ya ndege iliyopindika, kumbe Rubani alikuwa na matatizo ya kiakiliAjali ya ndege Viongozi wa mashtaka nchini Ujerumani wanasema kuwa wamepata ushahidi unaosema kwamba rubani wa ndege ya Ujerumani ilioanguka katika milima ya ALPS na kuwaua abiria 150 alikuwa amemficha mwajiri wake kuhusu ugo… Read More
  • Mtoto wa miaka 2 avunja rekodi Mtoto wa miaka 2 aweka rekodi India Amini usiamini mtoto mwenye umri wa miaka miwili ameweka rekodi ya taifa ya ulengaji shabaha kwa mishale nchini India.  Kulingana na vitabu vya kumbukumbu ya rekodi za taifa, Dolly S… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE