January 02, 2015

 
Usiku wa mkesha wa mwaka mpya Diamond Platnumz amefanya yake katika Vibe Party huko jijini Kigali, Rwanda akiambatana na mpenzi wake mpya Zarinah aka thebosslady kutoka Uganda pamoja na timu nzima ya wasafi na mameneja wake. 
ALICHOKIANDIKA Diamond dakika chache zilizopita!
Hii ilikuwa ni Vibe Party tu ya kusalimiana jana... dah! Nawashkuru sana Rwanda kwa Mapenzi yenu kwangu...najiuliza sjui leo kwenye show itakuwaje pale kwenye Uwanja wa Amahoro..
 
 
( Imagine that was jus, meet and Greet VIBE PARTY last Night... I swear Rwanda, you guys are Amazing i can't even express how i feel for the love that you have been showing me since i got here...i can not waiting for the Main Show at Amahoro Stadium Today!!! )
Hizi ni baadhi ya picha zilizochukuliwa wakati mkali huyo wa "number one" akitokea hotel na kuelekea ukumbini. Picha zote ni kutoka katika account ya instagram ya wasafi zikiwa zimepigwa na kifesi

Related Posts:

  • VIDEO YA ALLY KIBA KUONESHWA KWENYE VITUO HIVI VIKBWA Video iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’imeanza kuonyeshwa ijumaa ya 19 Decemba 2014. Ali Kiba amethibitisha kuwa video imekamilika kwa kutoa kionjo cha video hio na kusema ‘Video imeta… Read More
  • DIAMOND ULINZI MZITO UGANDA, AWEKEWA WAJEDA Mlinzi kutoka jeshi la Uganda Hawa askari tuliwaona wakati Diamond Platnumz amewasili Uganda na kupokelewa Airport kwa mbwembwe sana. Kumbe ulinzi wao uliendelea mpaka siku ya sho ambapo mmoja wao aliwekwa Nje y… Read More
  • TIBAIJUKU AGOMA KUJIUZURU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Prof. Anna Tibaijuka amegoma kujiuzulu kwakuwa haoni sababu ya kufanya hivyo Akiendelea kuzungumza na waandishi muda huu anasema watu wanaona kujiuzulu ni 'fashion' ila … Read More
  • HATIMAYE FLORA MBASHA ADAI TALAKA Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili nchini Tanzania,Flora Mbasha,amekwenda katika mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar-Es-Salaam,akiomba kuvunjwa kwa ndoa yake na mumewe Emanuel Mbasha. Flora amefungua kesi ya mad… Read More
  • TUONANE JANWARY SHOW KUFANYIKA MORO JUMAPILIKama upo Morogoro tukutane uwanja wa K/NDEGE shule ya Msingi  jumapili hii tutakuwa na @officiallinah @fidq @staminashorwebwenzi @Shilolekiuno @yamotoband @Nikiwapili  @Mwanafa na list nzima hiyo hapo. Utakosaje sas… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE