January 14, 2015

   

Vanessa Mdee a.k.a Vee Money amekuwamwanamuziki wa pili Tanzania kupata akaunti ya VEVO kwaajili ya kuweka video zake.VEVO ni mtandao mkubwa namba mojaduniani unaohusika kuhifadhi na kurusha kazi za wanamuziki maarufu duniani kama kina Nicki Minaj, Beyonce, Jay Z na wengine.Gosby ndiye alikuwa msanii wa kwanza wakizazi kipya kupata akaunti kwenye mtandao huo unaomilikiwa na kampuni kubwa za muziki duniani Universal Music Group (UMG), Google,Sony Music Entertainment (SME) na Abu Dhabi Media.Wanamuziki wengi wa Afrika Kusini na Nigeria kama Mafikizolo, D’Banj tayari wana akaunti kwenye mtandao wa Vevo. 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE