February 23, 2015

 
Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Bongo Freva Mez B ameagwa na kuzikw leo mjini Dodoma.

 

Wananchi wakiwa wamebeba mwili wa marehemu Marehemu Mez B baada ya kuagwa na mashabiki wa mziki pamoja na ndugu jamaa na marafiki mwili wake ulielekea kupumzishwa katika makaburi ya Wahanga Maili mbili

IMG-20150223-WA0044
Mtangazi wa Citizen TV anayejulikana kwa jina la Mzazi Willy Tuva akifanya mahojiano na msanii wa Bongo Fleva Janjaro.

IMG-20150223-WA0042

 




 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE