February 26, 2015

 
 Kikosi cha TP Mazembe cha Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo
 Timu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo imewasajili wachezaji watatu wapya toka kwenye timu ya taifa ya Ivory Coast.
Nyota hao ni Roger Assale, Sylvain Gbohouo na Christian Kouame.
Wachezaji hao wamejiunga na Mazembe wakitokea timu ya Sewe Sports kwa mkataba wa miaka mitano ili kuweza kuisaidia timu kwenye ligi ya mabigwa Afrika.
Mshambuliaji Assale na golikipa Gbohouo walikuwemo kwenye timu ya Ivory Coast iliyotwaa ubigwa wa Afrika huko Guinea ya Ikweta.
Huku kiungo Kouame akishiriki kwenye timu ya taifa katika hatua za awali za kufuzu kwa michuano hiyo.
Rais wa Tp Mazembe Moise Katumbi amewaelezea wachezaji hao "ni wachezaji wazuri tunadhani wataleta mabadiliko makubwa, lengo letu ni kuwapa nafasi wachezaji wa Kiafrika wenye vipaji."
Mabigwa hao wa Afrika kwa mara nne watachuana na Mamelodi Sundowns mwezi ujao katika hatua za awali za michuano ya ligi ya mabigwa Afrika

Related Posts:

  • New Video:Victoria Kimani ft Phyno -Lover   Kutoka nchini Kenya Mwanamuziki Victoria Kimani, anatupa fursa ya kuitazama Video yake mpya kabisa aliyomshirikisha Phyno inaitwa Lover                     &nbs… Read More
  • Brand New Video: Kibabe - Professor Jay   Mkali wa muziki wa Rap nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa jumla, ambaye ni mbunge wa jombo la Mikumi kwa tiketi ya CHADEMA Professor Jay, ametuletea video yake mpya inayoitwa Kibabe … Read More
  • Tanzania kupeleka madaktari Kenya    Serikali ya Tanzania imekubali ombi la kuipatia Kenya madaktari 500 watakaoisaidia nchi hiyo kukabiliana na tatizo la uhaba wa madaktari katika vituo vyake vya tiba hasa baada ya kutokea kwa mgomo wa madak… Read More
  • Brand New Video: Jay Moe - Nisaidie Kushare   Mwanamuziki Jay Moe baada ya kutamba sana na wimbo wake wa Pesa ya Madafu, safari hii amekuja na wimbo unaitwa Nisaidie Ku Share.                       &nb… Read More
  • New Video: Harmonize - Nambie   Kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva, mwanamuziki Harmonize ametuletea video ya wimbo wake wa Niambie. Harmoniza anayetokea katika Lable ya Wasafi ameachia Video hiyo baada ya kufanya poa kwa Audio yake … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE