Shirika
la ndege la Kenya, Kenya Airways leo limeanza rasmi kupunguza safiri
zake katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam kufuatia agizo la mamlaka
ya anga ya Tanzania kuamuru shirika hilo kupunguza safari zake kutoka 42
kwa wiki hadi 14.
KUMBE KIFIMBO CHA AT ALIPEWA NA MGANGA!!!
U heard na Soudy Brown mganga wa msanii AT aibuka na kufunguka kuwa alimpa pete ya bahati na kifimbo ili awe juu kwenye game,lakini watibuana baada ya AT kutotimiza ahadi alizomuahidi ya kumlipia kodi ya nyumb…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment