Shirika
la ndege la Kenya, Kenya Airways leo limeanza rasmi kupunguza safiri
zake katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam kufuatia agizo la mamlaka
ya anga ya Tanzania kuamuru shirika hilo kupunguza safari zake kutoka 42
kwa wiki hadi 14.
Vituko vya Ndondo Cup, Chief wa Kauzu aingia na kibanda
Chief wa Kauzu ameendelea kuwa kivutio kwenye michuano ya Ndondo Cup
kutokana na ubunifu wake katika kila mchezo ambao timu yake (Kauzu FC)
inaposhuka dimbani.
Kwenye mchezo wa leo June 6, Chief alikuja uwanja wa Ban…Read More
Rais Dkt. Magufuli: Pesa za bure zimeisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amesema
kwamba watu waliokuwa wanapata fedha za bure bure wameanza kusema kwamba
fedha zimeisha.
Rais
Dkt. Magufuli ameyasema hayo alipokuwa akitoa hotuba w…Read More
Tegete kuondoka Mwadui FC
Na Baraka Mbolembole: Shaffihdauda.com
MSHAMBULIZI wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na
klabu ya Yanga SC, Jerson Tegete amethibitisha kuwa ataachana na Mwadui
FC baada ya ku…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment