Shirika
la ndege la Kenya, Kenya Airways leo limeanza rasmi kupunguza safiri
zake katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam kufuatia agizo la mamlaka
ya anga ya Tanzania kuamuru shirika hilo kupunguza safari zake kutoka 42
kwa wiki hadi 14.
China yaonywa na Marekani kuhusu visiwa
Visiwa vinavyopiganiwa na Uchina
Marekani imeonya kuwa mpango wa
Uchina, wa kuanza safari za ndege za raia hadi kisiwa chenye mzozo,
katika bahari ya Kusini ya Uchina, unaweza kuzidisha hofu baina ya nc…Read More
Sharapova 'kujisafishia jina'
Mchezaji nyota wa tenisi Maria
Sharapova amesema kuwa yuko tayari kujisafisha jina baada ya kupatikana
na dawa za kusisimua misuli.
Katika mtandao wake wa facebook
ambapo amekosoa ripoti potofu na zilizoo…Read More
Mlipuko nje ya Banki Kuu
Mlipuko umejiri nje ya jengo la Banki Kuu ya Nigeria katika mji wa
Calabar kusini mwa nchi hiyo na kupelekea watu wasiopungua wawili kuuawa
na wengine …Read More
Yanga yaibuka kidedea mbele ya APR
MPIRA UMEKWISHAAA
-GOOOOOO Dakika za majeruhi, Patrick Sibomana anaifungia APR bao moja
-Mugenzi anapoteza nafasi ya wazi kabisa baada ya krosi safi kutoka Magharibi ya uwanja
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA
…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment