Shirika
la ndege la Kenya, Kenya Airways leo limeanza rasmi kupunguza safiri
zake katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam kufuatia agizo la mamlaka
ya anga ya Tanzania kuamuru shirika hilo kupunguza safari zake kutoka 42
kwa wiki hadi 14.
Video: Dayna Nyange aeleza kwanini habanduki kwa Mr T Touch
Msanii wa Bongo Flava, Dayna Nyange ameeleza sababu ya kupenda kurekodi ngoma zake kwa producer Mr T Touch.
“Huwa sipendi kuhama, najikutana nafanya kazi sehemu moja ikitokea nikafanya kazi nyingine nafanya. …Read More
Picha: Hivi ndivyo alivyokumbukwa Princess Diana
Ni takribani miaka 20 tangu Princess Diana afariki dunia kwa ajali ya gari nchi Uingereza.
Princess Diana amekumbukwa siku ya Jumatano ya wiki hii katika mji
wa Kensington Palace alipokuwa akiishi. Pri…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment