April 20, 2015

 
Kocha mmoja wa Rwanda 
Rwanda imeteuliwa kuwa mwenye wa fainali za kombe la mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFGA Challenge Cup, Novemba mwaka huu.
Katibu mkuu wa CECAFA Nicholas Musonye amethibitisha uamuzi huo.
Rwanda inatazamia kutumia fainali hiyo kujiandaa kwa michuano ya fainali za kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanashiriki ligi ya nyumbani, maarufu kama CHAN.
Fainali hizo za CHAN, ndio ya pili kwa ukumbwa barani na hushirikisha wachezaji chipikizi wanaocheza ligi mbali mbali nchini mwao.

Related Posts:

  • Official Audio: Enock Bella _ Kurumbembe Mzee wa mbesi Enock Bella wa Yamoto Band, sasa kazi tu. Ameachia Rasmi wimbo wake wa Kurumbembe. Katika wimbo huu Enock anaonekana kufanya vizuri zaidi kutokana na mziki alioufanya utamfya kubadilisha style ya muziki wa … Read More
  • Umoja wa Ulaya wataka serikali ya Tanzania iwajibike   Umoja wa Ulaya (EU) umelaani kuongezeka kwa vitendo vya uvunjifu wa amani ukiwalenga wanasiasa na vitisho nchini Tanzania, na kutaka hatua kuchukuliwa mara moja kukomesha hali hiyo. Tamko lililotolewa Ijumaa… Read More
  • Official new Video: Salesale - Dayna Nyange      Audio ya wimbo huu wa Dayna Nyange, ilishatambulishwa tayari siku ya Alhamisi. Leo hii ametuletea Video ya wimbo wa Salesale. Video ipo katika ubora wa hali ya juu kabisa na inawezekana ikawa ni miungo… Read More
  • Zitto Kabwe akamatwa Morogoro, awekwa ndani   Kiongozi na mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo Ndugu zitto Kabwe, anashuikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Humo. Kwa mujibu wa taarifa za kichama kupitia ukurasa wa Twitte, Ndugu zitto amepelekwa … Read More
  • Brand New Audio: Alay - Nibebe  Mwanamuziki anayetamba kwa kuachia hit nyingi sana kwa sasa nchini tanzania Aslay, ametuletea wimbo wake mpya kabisa unaitwa Nibebe … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE