November 01, 2014


Wimbo mpya kabisa kutoka Young Killer Msodoki akishirikiana na mkongwe wa hip hop Fid Q pamoja na Belle 9. Wimbo huu umewashirikisha producer wanne yaani P Funk Majani kutoka Bongo Records, Palla Midundo, Amiga Tyga na Lol Pop. Wimbo unaitwa 13.

DOWNLOAD HAPA


Related Posts:

  • Brand new Audio song: Mash J - MR. Masumbuko Prod Vennt Skillz   Kutoka mkoani Morogoro katika studio za Kwanza Records zilizopo Forest, Producer Vennt Skillz ametuletea mzigo mwingine uliotoka kwenye mikono yake. Wimbo wa Mash J unaitwa Mr. Masumbuko. Enjoy hapa kwa kuski… Read More
  • Kuhusu Point 3 za Kagera, Simba yaivaa TFF   Klabu ya Simba leo imeibuka na kupinga utaratibu unaotumiwa na TFF katika kushughulikia suala la pointi 3 ilizopewa kutoka klabu ya Kagera Sugar kwa kosa la kumchezesha mchezaji aliyekuwa na kadi 3, huku… Read More
  • Point za mezani na Mitazamo ya Rage Ismail Aden Rage-Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba SC Mwenyekiti wa zamani wa Simba Alhaj Aden Rage ameungana na wadau wengine kupinga matokeo ya mezani kwakua kuna njia nyingi za kuweza kuepuka timu kupewa au kupokw… Read More
  • LIVE: Barcelona VS Juventus   Muda huu kuna mpambano unaoendelea kati ya Barcelona na Juventus. Tumekuwekea hapa waweza kufwatilia mpaka mwisho ili uweze kujua nini kinajiri katika mpambano huu        &nbs… Read More
  • Yatakayojiri sherehe za Miaka 53 ya Muungano   Kwa mara ya kwanza wakazi wa Mji wa Dodoma wanatarajia kushuhudia mubashara sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26 mwaka huu katika uwanja wa Jamhuri.Sherehe hizo kufanyika Dodoma mwaka hu… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE