Kenyatta atangaza siku tatu za maombolezo Kenya
Rais Uhuru Kenyatta Wa Kenya ametangaza siku 3 za maombolezo na
bendera kupepea nusu mlingoti kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya
Chuo Kikuu cha Garissa lililoua karibu watu 150. Akilihutubia
taifa kutoka Ikulu ya Nairobi…Read More
WhatsApp yaanzisha huduma ya kupiga simu
Mtandao wa kijamii wa whatsapp unautumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, umeanzisha uduma mpya ya kupiga na kupokea simu
Awali mtandao huo ulikua na huduma za kawaida za kutuma ujumbe, video, picha au kurekodi sauti. Kwas…Read More
Wapinzanu washinda uchaguzi NigeriaRais mpya wa Nigeria Buhari
Muhammadu Buhari, ni Muisilamu, mzaliwa wa Jimbo la Katsina, Nigeria kaskazini.
Alizaliwa mwaka 1942, Buhari alikuwa kiongozi wa saba wa taifa la Nigeria, baina ya mwaka 1983-1985.
Ni jenerali msta…Read More
Al-Shabab watishia kuishambulia tena Kenya
Kundi la wanamgambo wa al-Shabab wa Somalia limetishia kuishambulia tena Kenya na kusisitiza kwamba, Wakenya watakabaliwa na vita vya muda mrefu na vya kutisha. Taarifa ya wanamgambo wa al-Shabab imebainisha kwamba, muda sio…Read More
Blog Zinazoanzia na Herufi ya W
-
*1. Wamtaani*
www.wamtaani.com
*2. Wanabidii Blog*
wanabidiiblog.blogspot.com
*3. Watanzania Waishio Nje ya Nchi*
watanzaniaughaibuni.blog...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment