HATIMAE AGNESS MASOGANGE ARUDI TANZANIA
Ikiwa ni wiki chache toka kesi ya video vixen Agnes Gerald a.k.a
Masogange ya kutuhumiwa kusafirisha dawa za kulevya kuisha kwa kulipa
faini nchini Afrika Kusini na kuwa mtu huru, hatimaye Jumanne
amerejea nyumban…Read More
NAY WA MITEGO AHUSISHWA NA MADAWA YA KULEVYA
Rapper Nay Wa Mitego amesema amekuwa
akisumbuliwa mno na maafisa usalama pamoja na vyombo mbalimbali vya
habari wanaomdhania kuwa anajihusisha na biashara ya madaya ya kulevya
kitu ambacho amekuwa akikanusha kwamba si…Read More
DIAMOND TENA, AMSHUTUMU PRODUCER MANECKY JUU YA ....
Diamond Platnumz leo hii amefunguka kuhusu kuvuja kwa ngoma yake "Nikifa
Kesho" ambapo amemlaumu producer na inaonekana sababu ni baada ya yeye
kuacha kurecord katika studio hiyo.
Bado haijajulikana producer …Read More
LULU: "ACHENI MUNGU ANIHUKUMU"
Msanii wa Bongo Movie Tanzania, Elizabeth Michael "Lulu" ameamua kuchora tattoo iliyoandikwa "Only God Can Judge Me" chini ya
shingo upande wa bega lake la kushoto, baada ua kuona
watu wamekuwa wakimhuk…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment