Rais Kikwete kulifanyia marekebisho Baraza la Mawziri
Mawaziri wote wa baraza la mawaziri nchini Tanzania wamezuiwa kusafiri
kikazi nje ya Jiji la Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa ni
maandalizi ya kukabidhi ofisi kwa mawaziri wapya ambao wanatarajiw…Read More
UN: Ugaidi hauna mfungamano na dini maalumu
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, ugaidi
haufungamani na dini au madhehebu fulani na kusisitiza kwamba viongozi
wote wa dini ulimwenguni wanalaani na wanapinga kwa nguvu zao zote
vit…Read More
Zifahamu club 10 tajiri Ulaya,Real Madrid yaongoza
Real Madrid imeibuka kama klabu
tajiri zaidi ulaya kulingana na orodha iliyotolewa na Deloitte Football
Rich kwa miaka kumi mfululizo.
Manchester United imetoka nafasi ya nne hadi ya pili katika orodha hio, kul…Read More
Watoto wa Hosni Mubarak kuachiliwa
Mahakama nchini Misri imeamrisha
kuachiliwa kwa watoto wa kiume wa rais wa zamani Hosni mubarak wakati
wanaposubiri kesi yao pamoja na baba yao inayohusu ufisadi.
Wakili wa Alaa na Gamal Mubarak anasema kwa anatar…Read More
New audio- Tunaishi - Darasa ft Nay wa Mitego
Mabibi na mabwana itifaki hapa imezingatiwa, ile ngoma tuliyoisubilia kwa hamu kubwa sana tka kwa miamba miwili, Darasa na Nay wa Mitego inayoitwa Tunaishi ndiyo hii sasa
Bofya hapo chini Kusikiliza na ku D…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment