July 25, 2015

11326131_1626508524272141_1337533939_n 
Wasanii watanzania waendelea kupeperusha vizuri bendera ya Tanzania kupitia Muziki, Huku akiwa amechaliwa katika Tuzo za AFRIMMA , Ommy Dimpoz anaendelea kufanya vizuri kimatifa Baada ya nyimbo yake ya Wanjera kushika namba moja katika Kituo cha Televishen cha Sound Citytv kilichopo nchini Nigeria.Katika Mtandao wa Instagram Ommy Dimpoz ameandika “Big S/O to SoundCityTv We are no 1 this week & please Let’s keep Voting for @afrimma Awards #BestNewComer link iko kwa Bio yangu 🙌🏼🙌🏼”.
 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE