Wasanii watanzania waendelea kupeperusha vizuri bendera ya Tanzania
kupitia Muziki, Huku akiwa amechaliwa katika Tuzo za AFRIMMA , Ommy
Dimpoz anaendelea kufanya vizuri kimatifa Baada ya nyimbo yake ya
Wanjera kushika namba moja katika Kituo cha Televishen cha Sound Citytv
kilichopo nchini Nigeria.Katika Mtandao wa Instagram Ommy Dimpoz ameandika “Big S/O to
SoundCityTv We are no 1 this week & please Let’s keep Voting for
@afrimma Awards #BestNewComer link iko kwa Bio yangu
🏼
🏼”.
WALIMU WA MASOMO YA HISABATI NA KIINGEREZA DODOMA WANOLEWA
-
Na.Francisca Mselemu - Habari - DODOMA RS
Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mkoa wa
Dodoma Mwalimu Vincent B. Kayombo leo M...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment