Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Felix Tibenda (pili kushoto)
akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bi. Ineke Bussemaker kwa uzinduzi wa
NMB Mastercard kwa Mkoa wa Arusha na Kanda nzima ya
Kaskazini.Wakishuhudia Meneja wa NMB kanda ya Kaskazini Bw.Salie
Mlay(kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Bw.Abdulmajid Nsekela
.…
TRILIONI 1.5 ZAIMARISHA ELIMU, AFYA, MAJI NA MIUNDOMBINU SHINYANGA
-
Na Dotto Kwilasa, Dodoma
Mkoa wa Shinyanga umepokea zaidi ya shilingi trilioni 1.56 kwa ajili ya
utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta mbalimb...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment