August 23, 2015

Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo.

 
Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali.

Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo.…

Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo.

 
Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali.

Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo.

Wanachama wa CCM wakishangilia mara baada ya kuwasili Jangwani.

Wana CCM wakiingia kwa mbwebwe uwanjani.

Bango kubwa la mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli likiwa pembezoni mwa viwanja vya Jangwani.

Wanachuo mbalimbali wakiingia viwanja vya Jangwani.

Msululu wa wanachama wa CCM wakiingia uwanjani.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE