September 15, 2015


IMG-20150915-WA0008
Aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds FM,Fatma Hassan ‘Dj Fetty’ leo amewaaga rasmi wasikilizaji na wafanyakazi wenzake na kuachana na kazi ya utangazaji na kufanya  shughuli zake za kibiashara.
IMG-20150915-WA0010
Watangazaji wa XXL B12,Adam Mchomvu,Dj Zero na Kenned ambaye amejiunga kwenye familia ya XXL na Clouds FM na amechukua nafasi ya Dj Fetty.
IMG-20150915-WA0009 
 Fetty ametangaza rasmi leo Novembar 15 kupitia kipindi cha XXL kinachorushwa na Kituo hicho pendwa nchini ambacho fetty pia alikuwa ni miungoni mwa timu ya kipindi hicho
IMG-20150915-WA0002 

IMG-20150915-WA0005 

IMG-20150915-WA0007 (1)
‘Kenned The Remmedy’ ambaye amejiunga na familia ya XXL akiwa na Adam Mchomvu.

IMG-20150915-WA0014 

IMG-20150915-WA0013 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE