Mwana muziki mwenye kipaji cha kukidhi haja toka nchini Tanzania King Kapita, amekuletea tena ngoma yake mpya kabisa aliyomshirikisha Cannibal Shaitta toka nchini Kenya wimbo unaitwa vizabizabina, wimbo ambao umefanywa na producer Johnn B na Kanyeria wa GrandMaster. Kimya cha King kapita kilisababishwa na ubize wake wa masomo nchini Afrika Kusini
October 10, 2015
8:40 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Huyu Ndiye Mwalimu Frank Msigwa Mtesaji Mkuu wa Mwanafunzi Huyu ndiye mwalimu Frank Msigwa mtesaji mkuu wa mwanafunzi aitwae Sebastian wa Mbeya sekondari school. Kwa sasa mwalimu huyu ameshafukuzwa chuo na Waziri Ndalichako na anatafutwa na Jeshi la Polisi. Neno moja k… Read More
ZITTO Kabwe: Tunamuheshimu Afande Sele CHAMA chetu kitalinda na kuheshimu mawazo ya Selemani Msindi (Afande Sele) ingawa wengine hawatopendezwa na hili, anaandika Wolfram Mwalongo. Ni kauli ya Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo aliyoiweka … Read More
Mwandishi wa zamani wa BBC atua Azam FC Klabu ya Azam FC imemtambulisha Adbul Mohammed kuwa General Manager wa klabu hiyo ambapo mbali na utambulisho huo wameeleza lengo kuu la kumpa wadhifa huo ndani ya timu yao. C.E.O wa Azam FC Saad Kawemba amesema len… Read More
Katibu Mkuu Mpya wa Umoja wa Mataifa huyu hapa Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa wingi wa kura limemteua aliyekuwa waziri mkuu wa Ureno Antonio Guterres kuwa katibu mkuu mpya wa umoja huo.antonio-guterres antonio-guterres Mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa una… Read More
HISTORIA Fupi ya Scorpion Mtoa Macho Inayozunguka Mitandaoni Alivyokuwa mdogo alikataa kusoma mama yake mzazi alishafariki siku nyingi na alikuwa akilelewa na mama yake mdogo maeneo ya Yombo buza. Alishawahi kufungwa jela japo haijajulikana alikosa nini, na jina lake kamili ni S… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment