Mwana muziki mwenye kipaji cha kukidhi haja toka nchini Tanzania King Kapita, amekuletea tena ngoma yake mpya kabisa aliyomshirikisha Cannibal Shaitta toka nchini Kenya wimbo unaitwa vizabizabina, wimbo ambao umefanywa na producer Johnn B na Kanyeria wa GrandMaster. Kimya cha King kapita kilisababishwa na ubize wake wa masomo nchini Afrika Kusini
Aweso: Sitarajii watu kuunganishiwa maji ya Bangulo kijanjajanja
-
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa
Mazingira Dar...
The post Aweso: Sitarajii watu kuunganishiwa maji ya Bangulo kija...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment