October 10, 2015


Mwana muziki mwenye kipaji cha kukidhi haja toka nchini Tanzania King Kapita, amekuletea tena ngoma yake mpya kabisa aliyomshirikisha Cannibal Shaitta toka nchini Kenya wimbo unaitwa vizabizabina, wimbo ambao umefanywa na producer Johnn B na Kanyeria wa GrandMaster. Kimya cha King kapita kilisababishwa na ubize wake wa masomo nchini Afrika Kusini

Related Posts:

  • Simba yamnasa kipa wa Medeama Kipa wa Medeama, Daniel Agyei ametua nchini tayari kumalizana na Simba. Kipa wa Medeama, Daniel Agyei ametua nchini tayari kumalizana na Simba. Lakini kwa hali inavyoonekana, huenda Simba imeishamaliza kila kitu kwa… Read More
  • Diwani wa CHADEMA ahamia CCM Kushoto ni Diwani wa kata ya Shule ya Tanga iliyopo Songea mjini mkoani Ruvuma kupitia tiketi ya Chama Cha Demoklasia na Maendeleo ( CHADEMA )Mussa Ndomba aliyejivua uaanachama na kujiunga Chama tawala cha mapi… Read More
  • Mbunge CHADEMA na wenzake, wajiunga CCM   Aliyekua mgombea Ubunge  wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Jimbo la Mvomero mwaka 2015, Mchungaji wa kanisa la Assemblies of God, Oswald Mlay na wenzake wawili wameamua kurejea chama cha mapinduzi … Read More
  • Live: Ruge Mutahaba na papili, aweka wazi ushiriki wake Clouds Media Mkurugenzi wa Vipindi,ubunifu  na uzalishaji wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba, ameweka wazi ushiriki wake ndani ya Clouds media group. Ajibu live maswali ya watazamaji na wadau wao.Amezungumzia bifu la Jide na FA… Read More
  • UREMBO:Magese aahidi ushirikiano na Serikali kusaidia vipaji Mkurugenzi wa Kampuni ya Millen Magese Group (MMG), Millen Magese  ameishukuru Serikali kupitia kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye, huku akifurahishwa na uwakilishi mzuri … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE