Mwana muziki mwenye kipaji cha kukidhi haja toka nchini Tanzania King Kapita, amekuletea tena ngoma yake mpya kabisa aliyomshirikisha Cannibal Shaitta toka nchini Kenya wimbo unaitwa vizabizabina, wimbo ambao umefanywa na producer Johnn B na Kanyeria wa GrandMaster. Kimya cha King kapita kilisababishwa na ubize wake wa masomo nchini Afrika Kusini
October 10, 2015
8:40 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Brand New Video: Mboga saba - MR. Blue ft Ali Kiba Audio ya wimbo huu mpya wa MR.Blue aliomshirikisha Ali Kiba unaoitwa mboga saba ukizidi kufanya poa, sasa MR. Blue amekuletea Official Video ya wimbo huu. &nbs… Read More
Rais Magufuli ataka watu kusahau dosari zilizowahi kujitokeza kwenye jeshi la polisi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli akisalimiana na Viongozi mbalimbali muda mfupi uliopita wakati akienda kufungua Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi #callcenter kilichopo Central… Read More
Kalamu ya Baraka Mbolembole: Kama ni Omog uelekeo wa Simba SC ni huu, Mayanja + Mayanga ni bora kuliko Na Baraka Mbolembole KUZUNGUKA huku na huko kusaka kocha kisha kuangukia kwa Mcameroon, Joseph Omog ni sawa na kushindwa mapema vita ya msimu ujao. Nafikiri Simba SC walipaswa kumuajiri Mganda, Jackson Mayanja kama … Read More
Picha: TID ajichora tattoo zenye majina ya hits za Ngwair TID anaendelea kumuenzi rafiki yake kipenzi, marehemu Albert Mangwea kwa style ya aina yake. Mnyama amejichora tattoo zenye majina ya hits za Ngwair. Baadhi ya nyimbo ambazo TID ameziandika ni pamoja na She Got A… Read More
Kurasa za Magazeti ya leo Jumamosi ya 25 june 2016 Karibu mpenzi msomaji katika kurasa za magazeti ya leo hii ya hapa Tanzania. Habari kubwa zilizobeba uzito ni hizi … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment