December 26, 2015


Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hatimaye mwanamuziki wa Bongo Fleva kutoka mkoani Morogoro Criss wamarya amekuletea rasmi Video yake mpya ya wimbo wake uliofanya poa sana wa Cheusi Mangala. Video ya wimbo huwo imefanyika mkoani Morogoro chini ya DR. GQ wa studio za Digital Vibes za mjini Morogoro. Criss wamarya katika video hiyo amevalishwa na mbunifu maarufu wa mavazi nchini bibie Diana Magesa

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE