Kampeni hizo zilianza baada ya mwandishi wa vitabu kukamatwa kwa kukiuka sheria za uandishi.
Mwandishi Ahmed Naji, alishtakiwa na kuhukumiwa kifungu cha miaka miwili jela kwa kuchapisha kitabu kilichokuwa na maelezo ya ngono na madawa ya kulevya.
Kmapeni ya kupinga kifungo cha Naji kilianzishwa siku ya Alhamis huku video zikisambazwa katika mitandao ya kijamii.
Mwandishi Ahmed Naji, alishtakiwa na kuhukumiwa kifungu cha miaka miwili jela kwa kuchapisha kitabu kilichokuwa na maelezo ya ngono na madawa ya kulevya.
Kmapeni ya kupinga kifungo cha Naji kilianzishwa siku ya Alhamis huku video zikisambazwa katika mitandao ya kijamii.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment