March 17, 2016

 

TAARIFA KWA UMMA
WAJUMBE WA VIKOSI KAZI VYA KITAIFA VYA NGOME ZA CHAMA CHA WAZALENDO (ACT-WAZALENDO

Tarehe 02. 03. 2016, Sekratarieti ya Chama cha Wazalendo (ACT-Wazalendo) kama ilivyokasimishiwa madaraka na Kamati Kuu ya Chama katika Kikao chake cha Tarehe 13. 02. 2016, imeidhinisha uteuzi wa Wajumbe wa Vikosi Kazi (Task Forces) wa Ngome za Kitaifa za Chama.
Vikosi Kazi vya Kitaifa vya Ngome za Chama vitakuwa na jukumu la kuratibu na kusimamia uendeshaji wa ngome husika hadi uchaguzi wa Chama utapofanyika mwaka 2017. Wajumbe wa Vikosi Kazi watachagua viongozi wa ngome husika.
Wajumbe walioteuliwa ni kama ifuatavyo:
NGOME YA VIJANA TAIFA:
1. Ndugu Edna Mangomango
2. Ndugu Philip Mallack
3. Ndugu Licapo Bakari
4. Ndugu Karama Kaila
5. Ndugu Anganile Massawe
6. Ndugu Dickson Bagamba
7. Ndugu Mwantum Mgonja
8. Ndugu Haji Usi Haji
9. Ndugu Hassan Abdallah

NGOME YA WANAWAKE TAIFA:
1. Ndugu Mkiwa Kiwanga
2. Ndugu Chiku Abwao
3. Ndugu Anastella Mallack
4. Ndugu Dotto Chacha Wangwe
5. Ndugu Eva Mpagama
6. Ndugu Mwanahamisi Semhinga
7. Ndugu Sixbether M. Mvule
8. Ndugu Mwanaharusi Nassor
9. Ndugu Ester Kayamba
10. Ndugu Nawiye Abdallah Mussa
11. Ndugu Ghanima Suleiman Shibu

NGOME YA WAZEE:
1. Ndugu Hamis Hassan Makapa
2. Ndugu Wilson Mushumbushi
3. Ndugu Salma Mtambo
4. Ndugu Hellen A. Chota
5. Ndugu Mussa Nandimuka 'Ndevu’
6. Ndugu aneno Ramadhan Suleiman
7. Ndugu Abdallah Omar Abdallah


Abdallah Khamis,
Afisa habari wa Chama Cha Wazalendo (ACT Wazalendo).

Tel: +255 22 277 1103, Mob: +255 655549154(Afisa Habari
Baruapepe: actwazalendo15@gmail.com Website: www.act.or.tz

Related Posts:

  • Watu weusi waachwa nje tuzo za Oscars   Filamu ya The Revenant inaongoza kwa kushindania tuzo vitengo vingi     Waigizaji na waelekezi wa filamu watakaopigania tuzo kuu za sanaa duniani za Oscar wametangazwa na kwa mwaka wa pili haku… Read More
  • Jaribio la dawa mpya lazua maafa Ufaransa Jaribio la dawa mpya nchini Ufaransa limemwacha mtu mmoja akiwa hana fahamu huku wengine watano wakiwa katika hali mbaya. Jaribio hilo lilifanywa na mahabara ya kibinafsi katika mji wa mgaharibi wa Rennes. Kufikia sasa Jarib… Read More
  • Rais Magufuli afuta hati za mashamba Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli amefuta hati za mashamba matano makubwa yaliyokuwa na hati za miaka 99 chini ya umiliki wa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ambayo yamebainika kuw… Read More
  • Simba wa kushangaza aliyeuawa Marekani Simba huyo alikuwa pia na masharubu ya ziada Simba wa milimani aliyeuawa katika jimbo la Idaho, nchini Marekani ameshangaza wengi kutokana na hali kwamba alikuwa na meno ya ziada kichwani. Meno hayo kamili yanachomoza kutoka … Read More
  • Tazama matokeo ya kidato cha pili hapa     Matokeo ya kidato cha pili 2015 yametoka. Ubalozini.blogspot.com tunakuletea kwa ukaribu zaidi matokeo hayo hapa,   Bofya hapa kupata matokeo ya kidato cha pili 2015 … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE