Mwanadada
Mkali kwenye Bongo fleva DAYNA NYANGE leo ameweka wazi aliyokuwa nayo
moyoni kumuhusu mkali mwenzake wa muziki hapa Bongo ALI KIBA
Dayna
anasema hajakuwa kwenye uhusiano mzuri na Ali kiba na haelewi sababu,
kwani amekuwa akimpotezea pindi akiomba kufanya nae kazi,
"Daaah
Ali Kiba kiukweli ni msanii ninaye mkubali sana hapa bongo tangu
kitambo, ila tatizo linakuja kati yetu ni nakumbuka kipindi cha nyuma
nilipokuwa nafanya nyimbo ya NIVUTE KWAKO nilimuomba tufanye wote,
nilimtafuta sana bila mafanikio kila nikimpigia alitaka niongee na
uongozi wake, nilipompata sikuridhishwa na alichokifanya ndio maana
nikamuweka Barnaba." Alisema Dyna
Mkali huyo ambaye kwa sasa anatamba na singo yake ya #ANGEJUA alimaliza kwa anahisi Ali Kiba na yeye damu zao haziendani,
"Mara ya pili tena nakumbuka nilimtafuta tufanye kazi, ilikuwa ni nyimbo yangu #LEO
niliyoifanya na BLUE ilikuwa nifanye na Kiba pia ila nilipokuwa
nampigia simu alinikwepa na kutaka niongee na menejimenti yake. Sasa
sifahamu kwa nini alikuwa anafanya vile, nahisi damu zetu tu
haziendani."-@daynanyange
Whatsapp kuja na hili jambo jipya kwa watumiaji wake
Kutokana na taarifa iliyochapishwa nchini Ujerumani, imeeleza kuwa watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Whatsapp mda sio mrefu kutakuwa na uwezo wa kupiga Video call.
Kama ilivyomitandao mingine ambayo inatoa Hudum…Read More
Tekno (Nigeria) kutumbuiza Dar siku ya mkesha wa Mwaka mpya
Msanii wa Nigeria anayetamba na kibao cha ‘Duro’, Tekno Miles anatarajia kutua jijini Dar es salaam wiki hii kwa ajili ya kufunga mwaka na fans wake wa Tanzania.
Msanii huyo ambaye wiki chache zilizopita ameachia wimbo…Read More
MADONNA -Guy ritchie trash talked me to Rocco
Guy Ritchie got in Rocco's ear and drove a wedge between Madonna and the 15-year-old ... sources close to Madonna tell TMZ.
We're told Guy and Madonna have had a "volatile" relationship for y…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment