
Katibu mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad,
amewasili Zanzibar alasiri YA LEO akitokea nchini India na Oman.
Alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege alilakiwa na viongozi kadhaa wa CUF
na baadaye kuelekea kwenye makaazi yake, Mbweni.


0 MAONI YAKO:
Post a Comment