Nisiku kadhaa tangu chid benz kuonekana
akiwa katika hali iliyokuwa ikitia huruma kwa kila aliye kipind cha
Weekend Chat Show na aliye tizama picha zake zilizochukua headline
kubwa mtandaoni huku kila mmoja akisikitishwa na afya ya msanii huyo .
Kupitia ukurasa wake wa instagram msanii Nuh Mziwanda ameandika haya maneno hapa chini
Tungekua
tunamsaport kipindi anaachia ngoma na kushare cover zake kama
mnavoshare picha ya brother kipindi hayupo sawa ingekua Mali kweli'ila
waTanzania wanajuaga umuhim wa mtu kipindi tayari yupo Matatizoni'Watu
tunaotumia Mitandao tujifunze kuitumia vizuri kusaport wasanii wetu
kipindi tayari wana nguvu zao'benz kaachia ngoma nyingi hapa kati lakini
hakukua na fujo kama hii ya kusambaza Picha mbovu 'salute sana wasanii
wote waliokua bega kwa bega kumpa kampani Chid 'kwa yoyote alienpost
chid ile picha kama una huruma futa na share picha nzuri na usema Chid
is back 'itampa Moyo na atajiona still yupo sawa na ajue bado
anahitajika na Mashabiki zake #ILaLa💪 Aliandika Nuh

0 MAONI YAKO:
Post a Comment