March 15, 2016

 
 Washindi wa tuzo ya #MalkiaWaNguvu wakiongozwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda pamoja na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group, Ruge Mutahaba leo walimtembelea Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu nyumbani kwake 
  
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda akiwa  na washindi wa Tuzo ya #MalkiaWaNguvu pamoja na Ruge Mutahaba tayari kwenda kumtembelea Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan nyumbani kwake mapema leo.
 




Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE