March 15, 2016

 
 Washindi wa tuzo ya #MalkiaWaNguvu wakiongozwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda pamoja na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group, Ruge Mutahaba leo walimtembelea Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu nyumbani kwake 
  
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda akiwa  na washindi wa Tuzo ya #MalkiaWaNguvu pamoja na Ruge Mutahaba tayari kwenda kumtembelea Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan nyumbani kwake mapema leo.
 




Related Posts:

  • Mtanzania akamatwa kwa ugaidiUmmul-Khayr Sadir Abdul (19). Vyombo vya usalama nchini Kenya, vinawashikilia wasichana watatu akiwamo Mtanzania, kwa kile kunachodaiwa kutaka kujiunga na kundi la kigaidi la al-Shabaab huko Somalia. Taarifa kutoka kwa Kamish… Read More
  • New Song: Navy Kenzo ft Young Dee - Viza Navy Kenzo wakishirikiana na Young Dee wanakuletea ngoma yao Mpya inaitwa VIZA Sikiliza hapa … Read More
  • New Video/Team Racers- Tunavuka mipaka  Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye kundi la muziki wa Hip Hop toka mkoani Morogro Team Racers limeachia video yake mpya ya Tunavuka Mipaka. Hip Hop / Trap Song Preformed By TEAM RACERS  Audio Produc… Read More
  • Aliyewaua waingereza kunyongwa hadi kufaKitanzi cha kunyongea watu Mahakama ya Malaysia imemkuta na hatia ya mauaji mtu mmoja kwa tuhuma za mauaji ya wanafunzi wawili wa udaktari kutoka nchini Uingereza.Mauaji hayo yanadaiwa kufanyika August mwakajana katika kisiwa… Read More
  • New Audio/ Ainea - Najuta kupenda Baada ya kufanya poa na ngoma yake ya sinampangoa naye aliyomshirikisha MR. Blue, hatimaye mkali wa muziki wa Bongo fleva toka mkoani Dodoma Ainea ameachi ngoma yake hii mpya kabisa ambayo tayari imeshaanza kufanya poa k… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE