March 04, 2016

Nasra Mohamed 
 Kocha wa Twiga Stars Nasra Mohamed akizungumza baada ya mechi

 Timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania imelazwa na Zimbabwe kwenye mechi ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wanawake 2016.
Twiga Stars wamechapwa 2-1 na Zimbabwe katika mechi iliyochezewa uwanja wa Azam complex jijini Dar es Salaam.
Magoli ya Zimbabwe yamefungwa na mchezaji Elina Jeke mabao yote mawili nalo bao la Twiga Stars likatiwa kimiani na Mwanahamisi Omar.
 Takaedza Mugadza 
Kocha wa Zimbabwe Takaedza Mugadza

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE