March 22, 2016

Mrembo kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva Tanzania Dyna Nyange amefunguka katika exclusive na Ayo TV kuhusiana na alivyopata wakati mgumu kupata Collabo na mkali wa Bongo Fleva Alikiba.
Dyna alifunguka kuwa amewahi kumuomba Alikiba collabo zaidi ya mara mbili lakini haikuwa rahisi kumpata “Mtu ambaye niliwahi kumuomba collabo sikufanikiwa ni Alikiba, sisemi kwa ubaya lakini Alikiba nimewahi kumuomba collabo mara mbili bila kufanikiwa” >>> Dyna Nyange


Video ya Dyna Nyange akielezea ilivyokuwa

               

Related Posts:

  • DIVA SASA KUJA NA KABAYSER, AAIDI UTAMU ZAIDI. Baada ya mtangazaji wa radio na msanii wa muziki Loveness aka Diva kuachia wimbo ‘Piga Simu’ aliomshirikisha Diamond, safari yake ya muziki haina dalili ya kusimama hivi karibuni kwakuwa ana mipango mikubwa na k… Read More
  • WEWE MKAZI WA MOROGORO SAS BHAAAS NI USIKU  WA   JUMAA  TANO YA  TAREHE  18  JULY 2012, NDANI  YA  4 STAR  SELENGETI   FIESTA  SUPA  NYOTA KUUDONDOSHA  MZIG O MZIMA  NDANI  … Read More
  • MAFANIKIO YA CHAMELEONE KATIKA MAISHA . Baada ya kukutana na staa wa muziki kutoka Uganda Jose Chameleone nimegundua kuna mambo mengi nilikua nayasikia tofauti na kuyasoma ambayo yeye ameyazungumza tofauti kabisa. Nilikua sijui, kumbe Chameleo… Read More
  • HIVI NDIVYO SINGLE BOY YA KIBA ILIVYOKUWA Ni miongoni mwa vipande vya video ya single boy Ally Kiba                   Diamond Mwanzoni mwa mwezi march au mwishoni mwa m… Read More
  • P SQUARE WAPATA PIGO. Mrs. Okoye Mrs. Okoye amekuwa akiumwa kwa mrefu ugonjwa ambao bado haujajulikana. Pamoja na Peter na Paul, watoto wake wengine  Jude na Ajeh  wana mchango mkubwa kwenye muziki wa Nigeria. Pe… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE