March 22, 2016

Mrembo kutoka kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva Tanzania Dyna Nyange amefunguka katika exclusive na Ayo TV kuhusiana na alivyopata wakati mgumu kupata Collabo na mkali wa Bongo Fleva Alikiba.
Dyna alifunguka kuwa amewahi kumuomba Alikiba collabo zaidi ya mara mbili lakini haikuwa rahisi kumpata “Mtu ambaye niliwahi kumuomba collabo sikufanikiwa ni Alikiba, sisemi kwa ubaya lakini Alikiba nimewahi kumuomba collabo mara mbili bila kufanikiwa” >>> Dyna Nyange


Video ya Dyna Nyange akielezea ilivyokuwa

               

Related Posts:

  • FIFA:Interpol yataka maafisa 6 kukamatwa  Shirika la maafisa wa polisi wa kimataifa Interpol limetoa ilani ya kukamatwa kwa watu sita wanaohusishwa na FIFA kufuatia madai ya kuhusika na ufisadi. Agizo hilo linawalenga maafisa wanne wa mashirika makuu p… Read More
  • January Makmba kufunguka jumapilu ijayo   Mbunge wa Bumbuli, Tanga na Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba nae ni mmoja wa walioingia kwenye headlines kwamba na yeye ameingia kwenye list ya wagombea wa CCM kwenye nafasi ya U… Read More
  • Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175   Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra. Moto huo uliozuka siku ya jumatano usiku ulianza wakati wakaazi wa mji huo walipok… Read More
  • New VIDEO | JOZZ D - My Candy Song Name/Jina la Nyimbo: My Candy.Artist Name/Jina la Msanii: JOZZ D .Genre/Aina ya Nyimbo: BONGO FLEVA & AFRO BEATSDirected/Mwongozaji: Remy Ivo Lupamba. Producer/Mtengenezaji: JOHNBGRAND.Studio: GRANDMASTER.C… Read More
  • Ulikuwa wapi ya Hussein Machozi  Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hatimaye msanii wa bongo fleva Hussein Machozi amekuja na hii hapa mpaya kabisa.  Download hapa chini … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE