Hizi ni habari nzuri kwa wadau wa tasniaya Habari Tanzania na hata nje ya Tanzania. Blog yenu pemdwa ya CHUMA BLO thechuma.blogspot.com Imebadilisha muonekano pamoja na logo yake na kuweka katika muonekano huu mpya na wa kisasa kabisa..
Ukifungua CHUMA BLOG na kuikuta katika muonekano huuusistuke, hii ndiyo CHUMA BLOG
Alichokiongea DR. Magufuli baada ya kushinda nafasi ya UraiS
Baada ya Rais mteule wa Tanzania, Dr. John Magufuli na Makamu wake Mama Samia Suluhu Hassan kukabidhiwa cheti na Tume ya Uchaguzi NEC, safari ilianza toka Ukumbi wa Diamond Jubilee Upanga mpaka Ofisi za CCM mta…Read More
Maafisa wa kituo cha kukusanya taarifa cha TACCEO wakamatwa
Wakili Imelda – Lulu Urio Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC.
Chanzo:MOE BLOG
Mtandao wa Asasi za Kiraia za Kuangalia chaguzi nchini jana ulipata pigo katika mwendelezo wake wa kukusanya taarifa juu ya mchakato wa…Read More
Butiku "wazanzibar msikubali kurudia uchaguzi"
Taasisi ya mwalimu Nyerere imeitaka tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC kufanya kazi kwa kuzingatia katiba ya nchi na sheria na sio kutanguliza mbele maslahi binafsi ya kisiasa hatua ambayo inaweza kusababisha machafuko na umwa…Read More
AZAKI zataka Magufuli kusimamia rasilimali
Mkurugenzi wa Watetezi wa Haki za Binadamu Onesmo Ole Ngurumwa,
Asasi zisizo za serikali (Azaki) wamemtaka Rais Mteule Dr John Magufuli
asimamie rasilimali za taifa ili ziwanufaishe wananchi wote na kuwatoa …Read More
Wasanii Bungeni watimize waliyoahidi - Stereo
Msanii Stereo amewataka wasanii waliofanikiwa kuchaguliwa kuingia
Bungeni, wakatimize wajibu wao kwa kuyatekeleza yale waliyoyaahidi
kipindi cha kampeni, na si kuyapuuzia baada ya ushindi.
Stereo
ameyasema …Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment