April 06, 2016

 

Anaitwas Charles Steven Kanumba, mkongwe wa filamu nchini, aliyefariki April 07/ 2012. Leo ikiwa ni kumbukumbu toka kifo chake kimkute, unazungumziaje nafasi yake katika soko la filamu nchini? Unaamini kama kweli toka Kanumba amefariki soko la filamu nchini limeshuka? Hii ni moja ya move aliyoshiriki Marehemu Kanumba

Tazama hapa
                  

Related Posts:

  • Hoteli yashambuliwa Tripoli    Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja maarufu kufikiwa na wageni kutoka nje katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, na kuua walinzi watatu na watu wengine 12 kujeruhiwa. Watu kadha wenye silaha walivamia h… Read More
  • UKATILI: Mwanamke awaua watoto wake na kuwazika ndani   Na Abuu Naco Tabora Mwanamke mmoja mkoa Tabora wilaya ya Tabora mjin kata ya chemchem amewaua watoto wake 2 na kuwazika ndani ya NYUMBA yake.  Taarifa zinasema  chanzo ch atukio hilo ni baada ya mumewe … Read More
  • Wanaorudisha wanafunzi kwa kukosa michango kukiona   HALMASHAURI ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga imewaonya walimu wa shule za msingi wanaopuuza agizo la serikali la kuzuia kuwarudisha nyumbani wanafuzi ambao wazazi wao wanashindwa kuwalipia michango mbalimbali a… Read More
  • Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha    Wakaazi wa kazkazini magharibi mwa Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.  Wanakijiji wa mkoa wa Cibitoke walisema kuwa takriban waasi 17 wal… Read More
  • Official Music Video: Mash J X Stamina - MperaMpera   Baada ya kuachia audio ya wimbo wake Mperampera aliomshirikisha Stamina, msanii toka Mkoani MOROGORO Mash J, sasa ameachia rasmi video ya wimbo huo unaofanya poa sana kwa sasa. Official Video ya msanii MASH J F… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE