He was initially known as Snoop Doggy Dogg, then he changed toSnoop Dogg,
then Snoop Lion. Guess what, guys! Rapper Snoop Lion has once again
fiddled with his identity and this time, he is a white guy named Todd!
Dude, has for some hours now, been postingvideosof himself in white face on his IGpage,
been calling himself Todd, and doing advertisements for a website
called WhiteGuysConnect which doesn’t seem to be a real thing. Scroll
down to see more pics. He still lookssexytho winks.
Kimenuka Yanga, katibu mkuu ajiuzulu
KATIBU Mkuu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha (pichani kushoto) amejiuzulu leo na tayari amewasilisha barua kwa Mwenyekiti, Yussuf Mehboob Manji.
Tiboroha ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS – ONLINE kwamba amechukua uamuz…Read More
Oscar:kukabiliana na madai ya ubaguzi
Rais wa tuzo hiyo Cheryl Boone Isaacs amefanya mabadiliko hayo
Waandalizi wa Tuzo za Oscar wameahidi kuwa wataimarisha juhudi zao za kuongeza wanachama zaidi wanawake na watu wa kutoka katika jamii za wachache kama vile watu…Read More
Waonywa kutoshika mimba
Watoto walioathirika na Zika
Maafisa wa Afya wa Brazil wanasema kuwa wanahofia kwamba maradhi yanayoenezwa na mbu ya virusi vya Zika huenda yameenea kuliko walivyotarajia.
Virusi hivyo vimedaiwa kusababisha ongezeko la ulem…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment