April 07, 2016


 Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Mhe. Christina Lissu Mughwai  amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya saratani tangu mwaka jana, na alikuwa mbunge katika bunge la 10.
R.I.P Christina
  

Source:Swahili Media

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE