Ukweli ukoje? Meneja wake aitwae Sallam SK aliwajibu hivi mashabiki walioanza kuuliza
‘Usiamini kila unachoona kwenye picha au unachoambiwa, mlikuwa mmelala sana amewaamsha kidogo’
Maneno ya Meneja Sallam yanamaanisha kwamba sio kweli Diamond katoboa pua, ni mchezo tu na baada ya hiyo picha ya kutoboa pua Diamond aliweka picha nyingine inayoonekana hapa chini akiwa
fresh kabisa watu wasiendelee kupanic.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment