April 06, 2016



 
Watu 5 wafariki dunia jijini Dar es saalam baada nyumba yao kufunikwa na kifusi kufuatia kuanguka kwa tanki la maji. Tukio hilo lililotokea jana huko Kawe Jijini Dar es Salaam na kusababishwa na tanki hilo la maji, tayari Jeshi la Polisi limethibitisha tukio hilo.

Tazama Video hapa
               

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE