May 19, 2016

13261070_1578220049138060_345601967_n


 

Mwanamuziki toka nchini Tanzania Alikiba ameingia rasmi kwenye familia ya Sony Music.
Staa huyo leo amesaini mkataba na record label hiyo kubwa duniani jijini Johannesburg, Afrika Kusini. 
 “Ni step moja wapo watu wangependa kuniona na leo ndio imefikia,” alisema Kiba mbele ya waandishi wa habari waliokuwa wamehudhuria kwenye utiaji saini katika deal hilo.”
“Niliwaambia nitafika sehemu mtaridhika na ninachokifanya. Naona hii support imetoka kwa mashabiki, nawapenda, mtanisamehe kama ntakuwa nimewakosea, kiukweli sote ni binadamu,” aliongeza.
“Ilikuwa kati ya ndoto zangu, nitafanya party kwaajili yao, kuwaona, kufurahia pamoja nao wanaopenda maendeleo yangu. Naombeni niwashukuru sana, nina imani kwamba ni malengo mazuri ninayoyalenga, na in the future ntaendelea kufanya kitu kama nilichofanya leo, nina imani mna furaha kama niliyonayo leo,” alisisitiza.
Kwenye hafla hiyo video nne za nyimbo zake zilichezwa zikiwemo Mwana, Chekecha Cheketua, Nagharamia, Lupela, Unconditionally Bae na Aje.

Related Posts:

  • NEW AUDIO/ BIO ft MR BLUE - NISEME  Kama unaikumbuka analamika, Bibi, kaniulizia na baadhi ngoma toka kwakE. Anaitwa BIO hapa kamshirikisha MR:BLUE mzigo unaitwa Niseme. SKILIZA KISHA WAWEZA KU SHARE … Read More
  • MUNTALA TALA VENCHA, HAPPY BIRTHDAY 2 U MY BROTHER    Muntala Tala v, tala talent, tala presdent, Tala Vencha Rais wa Msasani, ni mmoja ya wadau wa media niliotokea kuwakubali sana , kutokana na tabia yake ya kujali kila aina ya mtu. Jamaa tumekuwa tukishauliana … Read More
  • NANDO: NIPO TAYARI KUMUOA LULU Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa (the chase) 2013, Amir Nando ameweka wazi kuwa hajawai kuwa na uhusiano ya kimapenzi na mwanadada wa filamu, Elizabeth Micheal aka Lulu, lakini anakubali sana. Akiz… Read More
  • MUME WA FLORA MBASHA ALIA NA MCHUNGAJI GWAJIMA Na Makongoro Going’ MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo … Read More
  • MAAJABU YA NAY WA MITEGO, AJIPA ZAWADI YA GARI Jana ilikuwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Mwanamuziki Ney wa Mitego na aliamua kufanya sherehe kwa mara ya kwanza kusherehekea siku hiyo kwa vile huu ndio mwaka wake wa kwanza kuwa na mafanikio katika muziki , Ney alian… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE