Rais wa Jamahuri
ya Muungano wa Tanzania leo amefanya kikao na mabalozi kutoka mataifa
mbalimbali lengo kubwa likiwa ni kuhusu uwekezaji nchini na waliafikiana
kujenga kiwanda cha mbolea Mkoa wa Lindi. Mbali na hilo Rais Magufuli pia alifanyaka kikao na Katibu Mtendaji
wa SADC na kuzungumzia masuala ya Ulinzi na Usalama katika Jumuiya hiyo. Isome hapa taarifa yote.
Gambo azindua ujenzi wa hospitali ya wilaya
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo
amezindua ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Arusha mjini katika eneo la
Njiro kontena. Shughuli ambayo ilihidhuriwa na mamia ya wakazi wa jiji
hilo.
Akizungumza na wananchi hao Ga…Read More
TASAF KUBORESHA ZAIDI AJIRA ZA MUDA MFUPI
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Shadrack Mziray
amesema ziara ya mafunzo nchini, Afrika Kusini kuhusu utekelezaji wa ajira
za ...
Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili hii
-
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Amani
Golugwa, amesema chake, kitaanza...
The post Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment