Rais wa Jamahuri
ya Muungano wa Tanzania leo amefanya kikao na mabalozi kutoka mataifa
mbalimbali lengo kubwa likiwa ni kuhusu uwekezaji nchini na waliafikiana
kujenga kiwanda cha mbolea Mkoa wa Lindi. Mbali na hilo Rais Magufuli pia alifanyaka kikao na Katibu Mtendaji
wa SADC na kuzungumzia masuala ya Ulinzi na Usalama katika Jumuiya hiyo. Isome hapa taarifa yote.
Breaking News: Misanya Bingi afariki Dunia
Aliyewahi kuwa mtangazaji maarufu sana wa Radio nchini kupitia Radio One Stereo na ITV Dkt. Misanya Dismas Bingi maarufu Misanya Bingi amefariki Dunia. Taarifa za awali zinasema, misanya Bingi amefariki Dunia usiku …Read More
Kiswahili kuwa Lugha rasmi ya Afrika
Kiongozi
wa chama cha watetezi wa Uhuru wa kiuchumi (EFF) cha Afrika Kusini,
Julius Malema, ametoa wito wa kupitishwa kwa lugha moja itakayotumika
barani Afrika, huku akipendekeza lugha ya Kiswahili kuwa lugha hiyo.
Ma…Read More
KUTOKA IKULU:Taarifa kwa vyombo vya Habari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
amewataka viongozi wote nchini kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia
sheria sambamba na kuhakikisha wanasimamia ipasavyo matumizi ya
rasilim…Read More
Luka Modric Anyakua Mchezaji Bora, Ronaldo Mshambuliaji Bora
KIUNGO wa Klabu ya Real Madrid na
nahodha wa timu ya taifa ya Croatia, Luka Modric amefanikiwa kutwaa tuzo
ya mchezaji bora wa Ulaya akiwafunika Mo Salah wa Liverpool na
Cristiano Ronaldo wa Juventus.
DATA 17/18
…Read More
Sakata la Makontena ya Makonda,Musiba amkaanga
Lile sakata la makontena ya Bandarini yanayohusishwa na mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Poul Makonda, hatimaye linazidi kuchukua sura mpya baada ya leo Mkurugenzi wa CZI Cyprian Musiba kuifunguka kila kitu na kumuw…Read More
Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili hii
-
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Amani
Golugwa, amesema chake, kitaanza...
The post Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment