Rais wa Jamahuri
ya Muungano wa Tanzania leo amefanya kikao na mabalozi kutoka mataifa
mbalimbali lengo kubwa likiwa ni kuhusu uwekezaji nchini na waliafikiana
kujenga kiwanda cha mbolea Mkoa wa Lindi. Mbali na hilo Rais Magufuli pia alifanyaka kikao na Katibu Mtendaji
wa SADC na kuzungumzia masuala ya Ulinzi na Usalama katika Jumuiya hiyo. Isome hapa taarifa yote.
WABUNGE WAZICHAPA KAVU KAVU MJENGONI
Seneta Johnston Muthama aliyejeruhiwa mguuni na kuchaniwa suruali yake wakati wa vurugu bungeni leo.
WABUNGE nchini Kenya leo wametofautiana bungeni na kuamua kutupiana
makonde huku wengine wakichaniana nguo kufuatia mjad…Read More
AUDIO// KWA AJILI YAKO- PROFESSOR JAY fy CHAMELEONE
Mkali wa muziki wa Rap toka nchini Tanzania Professor Jay Mwana lizombe, ameachia ngoma yake mpya kabisa aliyomshirikisha mkali wa muziki toka uganda Josee Chameleone.
DOWNLOAD HAPA CHINI
…Read More
PUMZIKA KWA AMANI AISHA MADINADA
ALIYEKUWA mnenguaji na mwimbaji wa Bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda amefariki dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam Mkurugenzi
wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hi…Read More
MSIBA: G_ STAR WA UKWELI AMEFARIKI DUNIA
Taarifa toka kwa watu wa karibu na marehemu pamoja na familia, imethibitisha kifo cha mdau mkubwa asana wa media Tanzania G_ STAR wa ukweli. Tratibu za mazishi zinafanyika na marehemu atazikwa siku ya Jumatat…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment