May 19, 2016

Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania leo amefanya kikao na mabalozi kutoka mataifa mbalimbali lengo kubwa likiwa ni kuhusu uwekezaji nchini na waliafikiana kujenga kiwanda cha mbolea Mkoa wa Lindi.
Mbali na hilo Rais Magufuli pia alifanyaka kikao na Katibu Mtendaji wa SADC na kuzungumzia masuala ya Ulinzi na Usalama katika Jumuiya hiyo.
Isome hapa taarifa yote.

 WhatsApp-Image-20160519 (30)WhatsApp-Image-20160519 (31)

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE