May 19, 2016

Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania leo amefanya kikao na mabalozi kutoka mataifa mbalimbali lengo kubwa likiwa ni kuhusu uwekezaji nchini na waliafikiana kujenga kiwanda cha mbolea Mkoa wa Lindi.
Mbali na hilo Rais Magufuli pia alifanyaka kikao na Katibu Mtendaji wa SADC na kuzungumzia masuala ya Ulinzi na Usalama katika Jumuiya hiyo.
Isome hapa taarifa yote.

 WhatsApp-Image-20160519 (30)WhatsApp-Image-20160519 (31)

Related Posts:

  • Breaking News: Misanya Bingi afariki Dunia   Aliyewahi kuwa mtangazaji maarufu sana wa Radio nchini kupitia Radio One Stereo na ITV Dkt. Misanya Dismas Bingi maarufu Misanya Bingi amefariki Dunia. Taarifa za awali zinasema, misanya Bingi amefariki Dunia usiku … Read More
  • Kiswahili kuwa Lugha rasmi ya Afrika Kiongozi wa chama cha watetezi wa Uhuru wa kiuchumi (EFF) cha Afrika Kusini, Julius Malema, ametoa wito wa kupitishwa kwa lugha moja itakayotumika barani Afrika, huku akipendekeza lugha ya Kiswahili kuwa lugha hiyo. Ma… Read More
  • KUTOKA IKULU:Taarifa kwa vyombo vya Habari   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka viongozi wote nchini kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria sambamba na kuhakikisha wanasimamia ipasavyo matumizi ya rasilim… Read More
  • Luka Modric Anyakua Mchezaji Bora, Ronaldo Mshambuliaji Bora KIUNGO wa Klabu ya Real Madrid na nahodha wa timu ya taifa ya Croatia, Luka Modric amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya akiwafunika Mo Salah wa Liverpool na Cristiano Ronaldo wa Juventus. DATA 17/18 … Read More
  • Sakata la Makontena ya Makonda,Musiba amkaanga   Lile sakata la makontena ya Bandarini yanayohusishwa na mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Poul Makonda, hatimaye linazidi kuchukua sura mpya baada ya leo Mkurugenzi wa CZI Cyprian Musiba kuifunguka kila kitu na kumuw… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE