May 19, 2016

Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania leo amefanya kikao na mabalozi kutoka mataifa mbalimbali lengo kubwa likiwa ni kuhusu uwekezaji nchini na waliafikiana kujenga kiwanda cha mbolea Mkoa wa Lindi.
Mbali na hilo Rais Magufuli pia alifanyaka kikao na Katibu Mtendaji wa SADC na kuzungumzia masuala ya Ulinzi na Usalama katika Jumuiya hiyo.
Isome hapa taarifa yote.

 WhatsApp-Image-20160519 (30)WhatsApp-Image-20160519 (31)

Related Posts:

  • Tambwe aibeba Yanga dhidi ya BDF Mshambuliaji Amis tambwe leo ameiongoza Yanga kuichapa timu ya BDF kutoka Botswana katika mchezo wa kwanza wa mzunguko wa awali kuwania kombe la Shirikisho barani Afrika. Katika mchezo huo uliopigwa katika dimba la Tai… Read More
  • New Audio/ Darasa ft Barnaba - Cinderela    Huu ni wimbo mpya wa Darasa alioutoa maalum kw asiku hii ya Valentine day, hapa kamshurikisha Barnaba wanakwambia Cinderella … Read More
  • Runinga zilizojizima kupigwa fainiMamlaka ya mawasiliano nchini Kenya sasa inasema kuwa itavipiga faini vituo vya uninga vya NTV,KTN,Citizen na QTV nchini Kenya kwa kuzima matangazo yao kufuatia hatua ya serikali kuhamia katika matangazo ya dijitali. Mkurugen… Read More
  • Zuma: hakuna ruhusa mgeni kumiliki ardhi b Wageni hawatoruhusiwa kumiliki ardhi Afrika Kusini, kufuatana na sheria kali zinazopendekezwa na Rais Jacob Zuma. Siku zijazo wageni wataruhusiwa tu kukodi kwa muda mrefu ardhi ya mashamba ya Afrika Kusini. Mbali ya ha… Read More
  • Wakazi Kasulu mkoani Kigoma washerehekea Valentine na Clouds   Leo ikiwa ni siku ya Valentine day yaani ni siku ya wapendanao Kwa mara ya kwanza kabisa, wakazi wa Kasulu mkoani Kigoma , wameanza kusikiliza  matangazo ya kituo cha radio cha Clouds fm kwa masafa ya 89.3 FM. … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE