May 14, 2016

 

Mwanamuziki Diamond Platnumz, amevunja nyumba yao aliyozaliwa na kukulia na kujenga nyumba nyingine ya kisasa . Ameandika maneno haya katika AC yake ya Facebook

Hapa ndipo palikuwa nyumbani kwetu Tandale nilipozaliwa kulelewa na kujifunzia Muziki hadi leo kufikia hapa.... napaHeshimu, Napapenda, napathamini na Daima hata niende wapi lazima nirudi maana nikiwa hapa nasikia faraja na amani ya moyo... Mwanzo palikuwa hivi #HomeSweetHome #Before


Muonekano wa sasa 

 diamondplatnumz#AFTER Na huu ndio Muonekano Mpya wa Nyumbani kwetu TANDALE sasa..... Hongera sana mama zangu Mama Dangote, Bi mwajey na Bi shani kwa usimamizi mzuri hadi kufikia hapa #HomeSweetHome #Tandale #StillUnderConstructionThough





Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE